Ww huna facts.
Sipendi watu ambao hawataki kukubali kuzidiwa ujuzi. Mkuu mkwawa ndiyo jicho letu la tech. Hakurupuki, wala hana majivuno na ni mtu wa facts. Wewe ni layman tu kwa mkuu mkwawa. I don't mean to be rude but, you ain't kwow shit.
Simple tu. Tv inakuwa kama monitor. Either uunganishe kwa VGA au hdmi.
Then pads za pc zina waya una connect via usb ports au via bluetooth kama pc yako inayo.
Kwa kuongezea tafuta kijisabufa hata cha 60k unganisha na pc kama source ya audio. Inanoga sana na inaleta bonge la vibe hasa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.