Asante cheif,pia naomba kujua je hizi graphics cards hua zina pimwa vp yani nazo hua na number kama processor labda core i3 ,i5,i7 n.k
Click alama ya kusearch kisha andika
Dxdiag
Kitatokea kiprogram kifungue, itafunguka tab click display itakuonesha aina ya Gpu iliyopo kwenye laptop
Alternative search device manager ingia kwenye graphics pia utaona.
Pia Mara nyingi laptop yenye dedicated gpu inakuwa na sticker kwa juu ya Nvidia, radeon ama XE