Recent content by Holy tz

  1. H

    Tangazo la ajira

    Nitajuaje kama nasfa wakat hamjaweka sifa za mwombaji?
  2. H

    Ombi la nafasi ya kufundisha history

    Habar zenu wana jf! Nina shahada ya historia (Ba. History). Kwa atakaenihitaji tafadhali tuwasiliane kwa 0765201963.
  3. H

    Maoni ya Serikali tatu ni ya kishabiki na kinafiki

    Eti tujadili kero za muungano? ni marangapi tume zimeundwa kujadili hizo kero za muungano bila mafankio?
  4. H

    Yahusu nafasi ya kufundisha history na geography

    Are you health or healthy? Ok, uliscore vipi hayo masomo ya history na geog secondary? Nijibu fasta nikupeleke shule moja hv inataka walimu wa2 wa hayo masomo. Kwanza kabisa nashukuru kwa kuni-correct. Nakuomba kama uko serious tuwasiliane kupitia number niliyoiweka kwenye thread.
  5. H

    Yahusu nafasi ya kufundisha history na geography

    Mkuu unafikiri kwa nini lecturers wanafndisha na wanaeleweka? Isitoshe huwa tunasoma teaching methodology.
  6. H

    Yahusu nafasi ya kufundisha history na geography

    Hi JF members! I'm self motivated to request for teaching opportunity in secondary schools. I'm both mentally and physically health enough to work under pressure and in any enviroment. Academically i'm a historian, holding bachelor degree of history (BA. History), however i feel to be...
  7. H

    Job vacancy

    Naogopa kukufuru kwa kusema ...be cursed..., anyway, una umr gan ndugu?
  8. H

    I am looking for temporary teaching chance

    Pole nchi yangu. Huyu ndo mtaalam uliyemuandaa ili naye akaandae wataalam wengi zaidi. Sijui product yake itakuwaje na wala sielewi nini hatima ya elimu yetu miaka kadhaa ijayo.
  9. H

    Zikusanywe kura za maoni dhidi ya waziri na wizara ya uchukuzi kuhusu kufa kwa reli

    Najivunia kuwa na waziri kama yeye, anaefanya kaz kwa maslahi mapana ya nchi, anaedhibiti mianya yote ya majiz yasokuwa na utu wala uzalendo kwa taifa. Mtatuita mbwiga lakin hamtarudi tena pale JKNIA.
  10. H

    Zikusanywe kura za maoni dhidi ya waziri na wizara ya uchukuzi kuhusu kufa kwa reli

    Ikiwa wewe si mmoja wa wale makafiri waliofukuzwa pale JKNIA basi utakuwa --------- kama ko....mu. Mambo mengine muyaongelee kwenye vijiwe vyenu na si kutuwekea hapa jukwaani
  11. H

    Ajira mpya za walimu: Hawa 491 pesa yao itaenda wapi?

    Hii serikali yangu inayajiita sikivu huwa inanichanganya sana. Aya ngoja tuone mwisho wake.
  12. H

    Jinsi ya kutongoza hapa Jamiiforums

    Mmmh! Hapa napo inabidi niwaachie ndugu watongozaji tu. Na kwa mwezi huu ulionza jana sijui wanajisikiaje kujadili mada kama hizi.
  13. H

    Mwanamke anayetafuta mwanaume utamjua tu

    Kwanza ingekuwa vizuri kama ungetueleza ulitumia njia gani katika kufanya utafiti wako. Lakini pia utuambie ulifanyia maeneo gan, maake isijekuwa ulienda sehemu ambazo madada poa hupendelea, kwani nao wakati mwingine hupenda kuwa isolated ili kupunguza competition.
  14. H

    Maalumu kwa watu wazima tu!!

    Hata sielewi! Acha nishuke tu jukwaan.
  15. H

    Sunni forces declare birth of Islamic state Iraq

    Jambo la kujiuliza ni kwanini USA wanajivuta sana kumsaidia Al-maliki hali walimuweka wenyewe madarakan baada ya kumwondoa Saadam Hussein. Nashindwa kuelewa kama Obama hana interest na iraq kama ilivokuwa kwa mtanguliz wake-Bush. Pengne inaweza kuwa ni kwa sababu Obama huyuhuyu anawaunga mkono...
Back
Top Bottom