Recent content by hodogo

  1. hodogo

    Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

    Kasome Uhuru na Mzalendo Mkuu, kuna swaga za Mwiguru!
  2. hodogo

    Unafiki wa CUF kuhusu muungano

    Ghibuu naomba msaada wa kuelimishwa, hapa duniani nchi gani ina muungano wa mkataba?
  3. hodogo

    Bunge la Bajeti 2013 Laimaliza CHADEMA

    Mkuu bora utafiti ulioofanya utuwekee hadidu za rejea zilizokuongoza! Nionavyo mimi kila kunapoitwa leo sisi wananchi tunapata kuwaelewa watawala wetu kwa undani zaidi kupitia hayo unayoyaita yasio na tija! Hapa naweka mfano moja tu,. Mahusiano ya kisiasa baina ya vyama si jambo dogo. Kwa kuwa...
  4. hodogo

    Mchungaji Msigwa (CHADEMA) amtaka Kinana awahi kortini

    What a formal way! Nadhani hujaelewa alichosema Mchungaji, Mwanasheria wa Kinana kasema na waandishi wa habari badala ya kumfikishia yeye taarifa kwanza! So ni sawa yeye kusema kwa wamachinga kabla ya kuwajibu wanasheria wa Kinana! Mesege delivered!
  5. hodogo

    UDINI:Tuambizane ukweli,hivi tatizo ni mihadhara?

    Japo mkeka ni mrefu na maandishi ni madogo, lakini baadhi ya hoja zako ni za msingi. Katika vipande nilivyofanikiwa kuvipitia, sikubaliani na dhana ya mihadhara iliopigwa marufuku kwa mtazamo wako. Umesema vema kwamba miaka mingi huko nyuma wakristo wamekuwa wakifanya mikutano ya nje, Lakini...
  6. hodogo

    Sakata la Bomu Arusha: FBI watua nchini, EU wadai Udini ni chanzo, ukomeshwe

    Sisi si waajabu, sisi hatujiamini! Sisi kama serikali tunahusika, hivyo si rahisi kujichunguza na kutoa majibu yatakayoshawishi watu wetu na ulimwengu kwa ujumla wanaotufahamu tunavyocheza kijuha! Bora hata tunajifahamu hivyo!
  7. hodogo

    Tukio la Arusha: Rais Kikwete akatiza safari ya Kuwait

    Mtu akibisha kuwa wewe si kichaa mimi nitabisha nife! Unachoropoka hata hakieleweki! Kwa ujinga huu unatarajia malipo pia?
  8. hodogo

    Tukio la Ugaidi Arusha na Taarifa ya Mwakyembe kwa Ploisi!

    King Cobra, Nimekupata vilivyo hasa baada ya kusoma yale maandishi ulioyabadili rangi! Mungu apishie mbali ushiriki wa watu kama hawa!
  9. hodogo

    Dk. Joyce Ndalichako, usibabaishwe na mtu yeyote

    Mbona jazba? Huwezi kumsulubu Dr. Ndalichako kwa mtaji huu! Usihamaki anaposifiwa na kutiwa moyo! Huo ni mtazamo wake, ni LAZIMA uheshimu!
  10. hodogo

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    Mungu apishie mbali visa vya Boko Haram katika Nchi yetu!
  11. hodogo

    Viatu vya Pope Benedict XVI

    Kwamba kiatu ni chekundu, hio ni jezi rasmi ya pope! Red shoes is an official uniform of the pope! Kama una mashaka Pekua kurasa za Vatican
  12. hodogo

    CHADEMA wanamwogopa Mwigulu Nchemba kuliko kitu chochote

    Inawezekana, kwa sababu Mnyika anapambana kwa hoja, huna sababu ya kuogopa hoja, utajipanga utajibu, au utazifanyia kazi kimyakimya na watu wakapata majibu! Ogopa Tabibu asieamini katika matumizi ya ganzi katika kung'oa meno na kucha za watu! Wale anaowafanyia hivyo hawana muda wa kujipanga...
  13. hodogo

    Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

    Mzee usivurumishe kombora zito, nimepita pale Ubungo stend, vijiwe vyote vya kuuzia magazeti unavyovijua pale havikuwa na hata nakala MOJA ya gazeti hilo!
  14. hodogo

    Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

    Pilipili uso ila yakuwashaje? Kwa nini uweweseke kiasi cha kujaribu kuhujumu uhuru wa Watanzania Kuhabarika kama hukuguswa? Kati ya CDM na Magamba nani anaweweseka?
  15. hodogo

    Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

    Mwigulu is now your hero! I am waiting for a day when you will change your mind and call him "A NUT"! The days are just around the corner! Cursed be Mwigulu!
Back
Top Bottom