Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Mtoa mada nakupa tano. Ni kweli siasa imeharibu elimu yetu na bado inaendelea kuharibu.
Ndalichako tunajua udini ndio unaokupiga vita, kaza uzi fanya kazi yako kwa weledi, hata kama watakuona hufai historia itakukumbuka.
Nyie watu, hamuwezi kusema chochote bila kuchapia udini!!!!! Hii mada yenu ya udini inachosha na haisaidii uhai wa hili taifa. Mbaya zaidi inashabikiwa na watu waliopo kwenye jukwaa la Great Thinkers!!