Yaani nimeshangaa sana mkuu, pamoja na mapambio yote ya TUNATEKETEZA kumbe hamna kitu !! Kweli bongo bahati mbaya...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Corona inaweza kupimwa mara moja na mtu kupewa majibu!? Mbona hapa bongo tunaambiwa hadi maabara maalum iliyopo dar!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jadili hoja, unanijadili mimi!! Ninahusikaje na umasikini wako.
Chadema na Ccm ni vyama vya siasa nchini mwetu kisheria, hakuna waasi kwenye hivyo vyama. Wala hakupaswi kuwepo uadui, tofauti zipo kwenye itikadi na mbinu za kupata madaraka. Sisiem kuna wakati wanatumia nguvu ya dora kudhibiti...
Mambo ya kudhania usiwe unawambia watu hadi pale akili yako itakapo-confirm... Kushirikisha watu mambo ya kudhania tu, ni hulka ya umbea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sio mwanasisiem ila naona umejaza majungu tu! Huyo "Taratibu" mara nyingi anawasiliana na Mwenyekiti wake kabla ya kuwasiliana na umma, hivyo mara nyingi anachokizungumza kinaweza kuwa ndizo fikra za M.kiti ambaye unamshauri kupitia uzi huu eti amwondoe kwa udhaifu unaomtuhumu.
Huyo...
Kuvua nguo !! Ni kweli ama unanogesha soga!! Bila kujali uwepo wa jinsia ya kike, loh! Kumbe patamu sana huko. Na wale wasopenda kunyoa mazivu si ndo kuaibika...? Vipi mb*o ikidinda ni kosa? Lete michapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine hata kusoma herufi kubwa huumiza kichwa, hasa inapoongezewa na kielelezo chenye lugha ya kiarabu!!...kichwa hugonga maradufu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanajiamini kwa kut*mb* hadi wanasaka passport na viza kwenda kuonyesha umwamba kwa vibibi vya kizungu! Huyu bahari sio kabisa yaani! Miezi siku tisini tayari ushatamani bongo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Legelege wa kwanza ni wewe ambaye husomi comment hadi mwisho. Hapo ulipo hata ofisi za migration hujui zilipo, umekomaa na tecno yako kuwasema watu vibaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana, angalau umethubutu kukiri mapema kuwa ughaibuni hapajakufaa, wazamiaji wengine hawasemi lolote hukomaa kibishi wakati wakiwa na maisha magumu tu. Mkataa kwao ni mtumwa, we rudi tu home ilimradi usije kutuongezea Corona hapa nyumbani.
Kutamani kwako kurudi hakutukatishi tamaa sie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.