Ushauri wangu kwa Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM

vicdala55

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
1,009
1,638
Kwa heshima na Utii naomba kumshauri Mheshimiwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi kufanya mabadiliko katika nafasi ya katibu Mwenezi. Nafahamu ni vigumu sana kumshauri Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi bila kumshauri Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati umefika wa kufanya mabadiliko kwenye nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa. Chama Cha Mapinduzi ni Chama kikongwe Afrika na duniani kwa ujumla, ni Chama Mama miongoni mwa vyama vya siasa Afrika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni aibu Chama cha Mapinduzi kuwa na msemaji wa aina ya huyu aliyepo sasa. Duniani na Afrika bila shaka wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM ya Mzee Kikwete, Mzee Warioba, Mzee Butiku na Mzee Mkapa? Si ajabu wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM aloiacha Mwalimu Nyerere? Bila shaka wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM inayoongoza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM, nafahamu kuwa kuna kauli nyingi za ajabu zitokazo kinywani kwa Katibu Mwenezi Taifa hata wewe huwa huzifurahii, lkn pengine huwa unazivumilia kwa kuwa huwa zinaelekezwa kwa wapinzani wa CCM kisiasa. Lkn Mheshimiwa Mwenyekiti, kauli hizi hazina matokeo chanya katika mustakabali wa kisiasa kwa Chama Cha Mapinduzi.

Kauli ya hivi karibuni kwamba Taifa haliwezi kuzuia wageni kuja Nchini kwa muda kisa Corona ni kauli isiyo ya kizalendo kwa Taifa, inaonyesha jinsi CCM isivyojali usalama wa Watanzania kiafya na kimaendeleo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Taifa linaloumwa ni Taifa ambalo kamwe haliwezi kujenga uchumi wake, haliwezi kulinda mipaka yake na kamwe haliwezi kujitegemea.
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ikiachwa ipite, tafsiri yake ni kwamba CCM haina shida na matatizo ya Watanzania, bali ipo tayari Watanzania wafe lkn Taifa lipate pesa.

Kauli hiyo imeambatana na kauli kwamba Wapinzani wa CCM kisiasa ni sawa na Corona na watashughulikiwa sawa na Corona. Kauli hatari kama hiyo haiwezi kutolewa na Msemaji wa CCM.

Nchi nyingi zilizoathirika na Corona pengine zaidi kuliko Tanzania zina mfumo wa vyama vingi, zina ushindani mkubwa kisiasa pengine kuliko Tanzania, mfano Kenya na Marekani, lkn katika Nchi hizo huwezi kusikia chama tawala kikiwafananisha wapinzani wake kisiasa na ugonjwa wa Corona.

CCM inabidi ijitenge na ujinga huu hatari. Mheshimiwa Mwenyekiti, ni busara iliyo na haki kumwondoa Katibu wa Itikadi na Uenezi aliyepo, hajui uzito wa nafasi aliyonayo, imemwelemea, haiwezi, na zaidi anakichonganisha chama na kukichafua mbele ya jamii ya wastaraabu wa ngazi za Kitaifa na Kimataifa. Anaitangazia Dunia kwamba CCM ya sasa ni mbaya zaidi ya makaburu.. Ni aibu CCM kutazamwa katika mizania hiyo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ipe CCM msemaji atakaeifanya CCM irudishe heshima yake kwa Umma wa Watanzania na jumuiya y Kimataifa.

CCM imara ndio msingi wa Serikali imara na inayoheshimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sio mwanasisiem ila naona umejaza majungu tu! Huyo "Taratibu" mara nyingi anawasiliana na Mwenyekiti wake kabla ya kuwasiliana na umma, hivyo mara nyingi anachokizungumza kinaweza kuwa ndizo fikra za M.kiti ambaye unamshauri kupitia uzi huu eti amwondoe kwa udhaifu unaomtuhumu.

Huyo "Taratibu" ndiyo kinara wa "biashara ya watu" kutoka upinzani ambao wamesaidia sana kuitengeneza sisiem "mpya" na anaibeba hiyo falsafa yake kwa kuwa hapo awali (enzi za mchakato wa katiba mpya) "Taratibu" alikuwa mwiba mkali sana dhidi ya sisiem (ya zamani), akiwa na wenzake kina Caboody wa jalalani.

Sasa akimwondoa nani atamsaidia M.kiti kusimamia fikra ya sisiem mpya!? Kumbuka kuna "vichwa" vimeinama kwa sasa vikikubali kutanabaishwa kama sisiem "ya zamani" ila vinasubiri wakati muafaka aa kurudi ulingoni iwapo kina Taratibu wakitetereka.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamtoe Taratibu wamuweke nani?

Kwani kuna tofauti gani kati ya wapinga juhudi na corona? Wote wasumbufu tu ila watashughulikiwa na kupotelea kusikojulikana.
 
Huyo Popole ujasiri wa kusema hayo kautoa wapi kama yeye sio kipaza sauti tu!

Watu kama mleta mada huwa wanajifanya majuha wakati mwingine, wakidhani wanaotaka wasome walichokiandika ni watu wasiokuwa na akili vichwani mwao.

Huyo Popole, kwa niaba yake mwenyewe au cheo alichonacho huko CCM aote kutoa maneno kama hayo kabla hajasikia mwelekeo wa anayemfungua mdomo wake hajaprogramu kitakachosemwa?

Halafu unakuja hapa kuimba andiko zima:Mheshimiwa Mwenyekiti...!

Kama na wewe unatafuta kutumikishwa, si peleka barua ya maombi moja kwa moja umwambie Mheshimiwa Mwenyekiti jinsi wewe utakavyoweza kuifanikisha kazi unayoona wewe inayomshinda huyo aliyepo; halafu usikie utakavyojibiwa na kutupwa nje kama mbwa koko.
 
Kwa heshima na Utii naomba kumshauri Mheshimiwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi kufanya mabadiliko katika nafasi ya katibu Mwenezi. Nafahamu ni vigumu sana kumshauri Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi bila kumshauri Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati umefika wa kufanya mabadiliko kwenye nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa. Chama Cha Mapinduzi ni Chama kikongwe Afrika na duniani kwa ujumla, ni Chama Mama miongoni mwa vyama vya siasa Afrika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni aibu Chama cha Mapinduzi kuwa na msemaji wa aina ya huyu aliyepo sasa. Duniani na Afrika bila shaka wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM ya Mzee Kikwete, Mzee Warioba, Mzee Butiku na Mzee Mkapa? Si ajabu wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM aloiacha Mwalimu Nyerere? Bila shaka wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM inayoongoza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM, nafahamu kuwa kuna kauli nyingi za ajabu zitokazo kinywani kwa Katibu Mwenezi Taifa hata wewe huwa huzifurahii, lkn pengine huwa unazivumilia kwa kuwa huwa zinaelekezwa kwa wapinzani wa CCM kisiasa. Lkn Mheshimiwa Mwenyekiti, kauli hizi hazina matokeo chanya katika mustakabali wa kisiasa kwa Chama Cha Mapinduzi.

Kauli ya hivi karibuni kwamba Taifa haliwezi kuzuia wageni kuja Nchini kwa muda kisa Corona ni kauli isiyo ya kizalendo kwa Taifa, inaonyesha jinsi CCM isivyojali usalama wa Watanzania kiafya na kimaendeleo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Taifa linaloumwa ni Taifa ambalo kamwe haliwezi kujenga uchumi wake, haliwezi kulinda mipaka yake na kamwe haliwezi kujitegemea.
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ikiachwa ipite, tafsiri yake ni kwamba CCM haina shida na matatizo ya Watanzania, bali ipo tayari Watanzania wafe lkn Taifa lipate pesa.

Kauli hiyo imeambatana na kauli kwamba Wapinzani wa CCM kisiasa ni sawa na Corona na watashughulikiwa sawa na Corona. Kauli hatari kama hiyo haiwezi kutolewa na Msemaji wa CCM.

Nchi nyingi zilizoathirika na Corona pengine zaidi kuliko Tanzania zina mfumo wa vyama vingi, zina ushindani mkubwa kisiasa pengine kuliko Tanzania, mfano Kenya na Marekani, lkn katika Nchi hizo huwezi kusikia chama tawala kikiwafananisha wapinzani wake kisiasa na ugonjwa wa Corona.

CCM inabidi ijitenge na ujinga huu hatari. Mheshimiwa Mwenyekiti, ni busara iliyo na haki kumwondoa Katibu wa Itikadi na Uenezi aliyepo, hajui uzito wa nafasi aliyonayo, imemwelemea, haiwezi, na zaidi anakichonganisha chama na kukichafua mbele ya jamii ya wastaraabu wa ngazi za Kitaifa na Kimataifa. Anaitangazia Dunia kwamba CCM ya sasa ni mbaya zaidi ya makaburu.. Ni aibu CCM kutazamwa katika mizania hiyo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ipe CCM msemaji atakaeifanya CCM irudishe heshima yake kwa Umma wa Watanzania na jumuiya y Kimataifa.

CCM imara ndio msingi wa Serikali imara na inayoheshimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mwenyekiti ndio anaharibu zaidi kuliko mwenezi????
ETZx0ZMXsAAJvzn.jpeg
 
Mmenyimwa maarifa ili muangamie.
Sasa wewe unatofauti gani, na huyu Mjinga wetu PP, anayewataka wapinzani ambao ni Watanzania na wengi wao wazalendo zaidi yake waangamie.

Inaonyesha wewe na yeye ni DNA moja ,akili moja . You are all fools, unprofessionals, In-Human and Vipaza sauti vinavyotumika kiholela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa nadhani dhamila yao gonjwa lienee kwa kasi ili wapate sababu ya kusogeza mbele UCHAGUZI ila MUNGU anawaumbua
Kwa heshima na Utii naomba kumshauri Mheshimiwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi kufanya mabadiliko katika nafasi ya katibu Mwenezi. Nafahamu ni vigumu sana kumshauri Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi bila kumshauri Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati umefika wa kufanya mabadiliko kwenye nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa. Chama Cha Mapinduzi ni Chama kikongwe Afrika na duniani kwa ujumla, ni Chama Mama miongoni mwa vyama vya siasa Afrika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni aibu Chama cha Mapinduzi kuwa na msemaji wa aina ya huyu aliyepo sasa. Duniani na Afrika bila shaka wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM ya Mzee Kikwete, Mzee Warioba, Mzee Butiku na Mzee Mkapa? Si ajabu wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM aloiacha Mwalimu Nyerere? Bila shaka wanajiuliza kama huyu ndiye msemaji wa CCM inayoongoza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM, nafahamu kuwa kuna kauli nyingi za ajabu zitokazo kinywani kwa Katibu Mwenezi Taifa hata wewe huwa huzifurahii, lkn pengine huwa unazivumilia kwa kuwa huwa zinaelekezwa kwa wapinzani wa CCM kisiasa. Lkn Mheshimiwa Mwenyekiti, kauli hizi hazina matokeo chanya katika mustakabali wa kisiasa kwa Chama Cha Mapinduzi.

Kauli ya hivi karibuni kwamba Taifa haliwezi kuzuia wageni kuja Nchini kwa muda kisa Corona ni kauli isiyo ya kizalendo kwa Taifa, inaonyesha jinsi CCM isivyojali usalama wa Watanzania kiafya na kimaendeleo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Taifa linaloumwa ni Taifa ambalo kamwe haliwezi kujenga uchumi wake, haliwezi kulinda mipaka yake na kamwe haliwezi kujitegemea.
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ikiachwa ipite, tafsiri yake ni kwamba CCM haina shida na matatizo ya Watanzania, bali ipo tayari Watanzania wafe lkn Taifa lipate pesa.

Kauli hiyo imeambatana na kauli kwamba Wapinzani wa CCM kisiasa ni sawa na Corona na watashughulikiwa sawa na Corona. Kauli hatari kama hiyo haiwezi kutolewa na Msemaji wa CCM.

Nchi nyingi zilizoathirika na Corona pengine zaidi kuliko Tanzania zina mfumo wa vyama vingi, zina ushindani mkubwa kisiasa pengine kuliko Tanzania, mfano Kenya na Marekani, lkn katika Nchi hizo huwezi kusikia chama tawala kikiwafananisha wapinzani wake kisiasa na ugonjwa wa Corona.

CCM inabidi ijitenge na ujinga huu hatari. Mheshimiwa Mwenyekiti, ni busara iliyo na haki kumwondoa Katibu wa Itikadi na Uenezi aliyepo, hajui uzito wa nafasi aliyonayo, imemwelemea, haiwezi, na zaidi anakichonganisha chama na kukichafua mbele ya jamii ya wastaraabu wa ngazi za Kitaifa na Kimataifa. Anaitangazia Dunia kwamba CCM ya sasa ni mbaya zaidi ya makaburu.. Ni aibu CCM kutazamwa katika mizania hiyo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ipe CCM msemaji atakaeifanya CCM irudishe heshima yake kwa Umma wa Watanzania na jumuiya y Kimataifa.

CCM imara ndio msingi wa Serikali imara na inayoheshimika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha unafiki wewe ni CCM
Mi sio mwanasisiem ila naona umejaza majungu tu! Huyo "Taratibu" mara nyingi anawasiliana na Mwenyekiti wake kabla ya kuwasiliana na umma, hivyo mara nyingi anachokizungumza kinaweza kuwa ndizo fikra za M.kiti ambaye unamshauri kupitia uzi huu eti amwondoe kwa udhaifu unaomtuhumu.

Huyo "Taratibu" ndiyo kinara wa "biashara ya watu" kutoka upinzani ambao wamesaidia sana kuitengeneza sisiem "mpya" na anaibeba hiyo falsafa yake kwa kuwa hapo awali (enzi za mchakato wa katiba mpya) "Taratibu" alikuwa mwiba mkali sana dhidi ya sisiem (ya zamani), akiwa na wenzake kina Caboody wa jalalani.

Sasa akimwondoa nani atamsaidia M.kiti kusimamia fikra ya sisiem mpya!? Kumbuka kuna "vichwa" vimeinama kwa sasa vikikubali kutanabaishwa kama sisiem "ya zamani" ila vinasubiri wakati muafaka aa kurudi ulingoni iwapo kina Taratibu wakitetereka.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamtoe Taratibu wamuweke nani?

Kwani kuna tofauti gani kati ya wapinga juhudi na corona? Wote wasumbufu tu ila watashughulikiwa na kupotelea kusikojulikana.
Namna ya kuwashughulikia ndio kama hivyo kuwapiga risasi kama Lissu au kuwavunja mikono kama akina Halima mdee au kuwabambikizia kesi au yote kwa pamoja?
 
Hulka za wanaccm ndivyo zilivyo kuanzia

1. Nape-bao la mkono,
2. Bashiru-tutatumia dola kubaki madarakani,
3. Polepole- Wapinzani ni sawa na Corona,
4. Mwenyekiti Taifa- Nikupe gari na mshahara halafu umtangaze mpinzani ihiiiiiiiii!!!

Hivyo ni wasema hovyo kila mara
 
Jadili hoja, unanijadili mimi!! Ninahusikaje na umasikini wako.

Chadema na Ccm ni vyama vya siasa nchini mwetu kisheria, hakuna waasi kwenye hivyo vyama. Wala hakupaswi kuwepo uadui, tofauti zipo kwenye itikadi na mbinu za kupata madaraka. Sisiem kuna wakati wanatumia nguvu ya dora kudhibiti madaraka hiyo ni mbinu tu lakini katiba ya nchi haisemi hivyo! Chadema hutumia mbinu ya nguvu ya umma kulinda ushindi, hiyo ni mbinu tu! Katiba haisemi hivyo!

Kila anayechagua chama kimojawapo, ipo sababu nyuma yake. Na haimaanishi anayetofautiana na wewe katika maamuzi basi ni mnafiki!!

Yaani mimi niwe mnafiki! Na Waitara, Mashinji, Sumaye, Lowasa, Mtatiro, Dr. Slaa, Shonza, Patrobas, Kafurila et al utawaitaje?! Acha kujadili watu! Watu wapo huru kuamua lolote, jadili hoja tujunge nchi.

Nimeamua kukuelimisha uongeze maarifa.... Sio unaleta mihemko ya kukosa al-kasusu toka kumekucha. Nyambafu.
Acha unafiki wewe ni CCM

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom