Kiukweli mpaka nimeishiwa na nguvu.nakumbuka nlivyompoteza my sister. Na baadae nikaja kujua kumbe na Dada angu mwingine nae anatumia ARV.naumiaga Sana.ila yy hajui Kama mm najua.naliaga sana
Yaana unaweza kuta Mwanaume kamzidi Msichana umri, na akamuoa bila ya matatizo yoyote.ila linapokuja suala la Mwanamke kumzidi Mwanaume umri.litaongelewa na mpaka kila kiumbe kitajua kwamba Mwanamke ni mkubwa kuliko Mwanaume.Wewe Kama wewe unalichukuliaje hili,na wewe mwanamke,Yalishawahi...
Nakumbuka siku matokeo ya darasa LA Saba yalipotoka katika shule yetu tulifaulu watoto kumi tu na wanawake tukiwa wawili tu,Na hapo ndo nilipowaza kwamba shule ndaendaje kuanza kujiunga na kidato cha NNE wakati maisha ya pale nyumbani ni duni Sana. Niliumia Sana lakini mama akamshauri baba wauze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.