Yaan huu uzi umenifurahisha sana ,nimemkumbuka Yule Dada aliyenishawihi nijiunge(ila alidunda[emoji2]) Na Wazee wa GUDMORNING mchana kweeupeee pale . pale biafra
Wengne waliniambia mim n MaCCM. Wengne wakaniuliza jinsia licha kwenye Aya yang ya mwsho niliitaja japo sio kwa umuhimu !
Lkn hata kama ikiwa hivyo bado aihalalishi kwa Mavjana kutopiga kura !
Well said Mkuu! Sijui walikumbwa na pepo gani siku ile. .
Pengne kufata mastor ya vijiweni tu ..MAANA kuna sehemu usipopiga kura unaonekana Mwamba ! kumbe kwenye duru za Maarifa wew n Hamnazo tu!
Wanaona sawa tu bila kujari huyo mtu atampangia hadi Bei ya "Taulo za kike" na "Condom" mfano wa...
Wanasikitisha sana eti nipo Busy ..Miaka mitano ina masiku 1825 siku ya kupiga kura n 1 yenye masaa 24 . Tume walitoa siku masaa 10 ..na kwa jinsi zoezi lilivyofanyika kipindi hich ukichukua muda mrefu basi n dakika 30 .
Hivi kwa Akili ya kawaida tu huyu mtu anakosaje dakika 30 ndani ya siku...
Umeonesha ubinafsi wa hali ya juu sana juu ya hawa vijana wew unafanana na wale "kila mtu afe kivyake" huku atakayekuzika hamjui ?
Anyway hivi haujui hao mavijana ndio taifa nguvu kazi kwa uchumi wetu?
Sasa kama hawatopiga kura huoni watakuharibia mpk wew mfano,mshahara inabak static
Hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.