Kwa wale wenye uelewa mzuri wa biashara hii naona bongo imeanza kushamiri kwa wenye uelewa wa hii kitu pls tupene maujanja na siw tuweze kula henes wikiendi karibuni
Leteni maujanja tuachane na kuumizwa na muhindi
Naomba kufahamu best settings za MACD kulingana na time frame 5M,15M,30M,1H,4H na 1D nikimaanisha Fast EMA Slow EMA na MACD SMA
Unasubiri nini wakati ushajua ameburuzwa ww mpige chini utapata tabu kwa muda flani ila utakuja kua sawa tafuta mwanamke mwengine wanawake wako wengiii sanaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.