Penelope
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 713
- 641
Uko kama mimi yaani. Bora yako labda ni karibu na nyumbani.... mimi ni mbali kidogo na home. Sasa ukute chakula kimeisha, (nimeajiri zee sumbufu ndo linawahudumia.) Litapiga simu hata saa 8 ya usiku au lipate matatizo ya familia yake. Utatamani kulia.... mpaka saivi nawaona nguruwe kama simba
ha ha ha umenichekesha,,eti unawaona kama simba,,mimi naangalia mpk end of this year nitacheki kama niendelee au niache manake garama za kulisha ni kubwa mno,,na sanyingine wadumae hapo ndio utajua theory ni tofauti na practical kabisa