Recent content by hil2

  1. H

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Fanya namna unusulu lugha yako kimatamshi na kimaandishi mkuu, hujachelewa
  2. H

    Hivi kwa nini mikutano mingi ya CCM hujazwa na Wale waliovaa säre??

    Bora umeuliza manake hata mimi nimejiuliza sana hiyo kitu
  3. H

    Sababu za UKAWA kutokufungua Kampeni kama ilivyotarajiwa

    Huyo tuliemwona kwenye kikao cha Sumaye si mwenyewe au ameruhusiwa na hospital kwa dharura!!
  4. H

    Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

    Ina maana hawezi kukabidhi kesho?
  5. H

    Alhaji Mussa Salum: Mwezi haujaonekana

    Hivi wakisali si ndiyo sikukuu au?..naona huku wanasali misikiti mingi
  6. H

    Prof. Muhongo aita waandishi wa habari leo

    Ah haaa ha ha!!,..halafu mbona nyuzi za aina hii zimekua nyingine sana!..team Muhongo kuna shida kwani!
  7. H

    Mnyika anachekesha sana eti ataiangusha serikali ya kikwete

    Na wewe bana..Tanzania mambo hayapimwi kihivyo...utaona atakavyopindua hizo asilimia kwenye ubunge
  8. H

    Majambazi wanavamia maduka sasa hivi ninavyopost hapa Tabata Liwiti, nipo nawachungilia

    Ina maana umeafiki hii hali ya kuvamia na kupora Mali!!
  9. H

    Majambazi wanavamia maduka sasa hivi ninavyopost hapa Tabata Liwiti, nipo nawachungilia

    Mh!..inawezekakana jamaa yuko serious wwewe unaleta mzaha..
  10. H

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC Tujuavyo sote: Advanced level ni miaka miwili na Chuo cha Ualimu "Butimba TTC" ni miaka miwili pia, yeye alisomaje EGM High School na TTC ndani ya miaka miwili? Alieleta madam...
  11. H

    Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

    Mie nastaajabu...nilikimbilia mwisho wa maelezo ya mtoa mada ili nijue yeye anaona nani anaefaa kumbe nae hakumtaja..hapa unampa MTU publicity ya bure bila kupania kufanya hivyo..to a mbadala hapa tutathmini
  12. H

    Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

    Tupe mbadala wake basi
  13. H

    Second interview NSSF

    Ah ahhh...hakuna kukata tamaa ..jipeni moyo mtashinda
  14. H

    Second interview NSSF

    Mungu awaongoze katika mapambano haya kW a kila mmoja wenu na mpango wake yeye ajuaye kesho yetu
  15. H

    From the bottom of my heart sitaki mwanaume wa Dar

    Kuwakimbia ni shida/taab kwani wako kila kona..Mara nyingine hufika mikoani pia usifkir hawatoki nje ya Dar...In short wanaume wengi unaovutiwa nao wametia timu Dar....hata huyo ulienae
Back
Top Bottom