Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

1.Namfahamu Lowasa aliyeleta/simamia maji ktk Ziwa Nyanza mpka Mikoa ya Shinyanga kwenye Wilaya kama Kahama, na sasa mpaka Tabora na baadaye Singida!

2.Namfahamu Lowasa aliyesimamia Ujenzi wa Shule za Kata Tanzania nzima na sasa Mtoto wa Kitanzania anazaliwa kijijini fulani na hatoki kwenye Kata yake mpaka anafika Kidato cha nne!

3.Namfahamu Lowasa aliyevunja Mkataba wa kinyonyaji kati ya City Water ya Ulaya na DAWASA ambapo wazungu walitaka kubinafsisha maji yetu!

Yaani mnataka awe rais kwa ajili ya haya mambo matatu tu.?
 
Namfahamu Lowas kama mtu aliyefanikisha kutatua tatizo sugu la maji mikoa ya kanda ya ziwa,ambaye hakuiogopa mikataba ya kikoloni ya miaka 1800 ya kuzuia matumizi ya maji ya ziwa Victoria ili kulinda mto Nile na Kilimo cha misri,badala yake alijitoa muhanga na kutengua sheria hizo kwa maslahi ya wananchi wa Kanda ya ziwa,ki ukweli ana sapoti kubwa sana maeneo ya kanda ya ziwa kutokana na ujasiri huu JAPO MIMI SI MMOJA WA WANAO MUUNGA MKONO.

Namfahamu Lowassa kama siyo muhusika wa Richmond, kuhusu hili la umiliki wa hiyo kitu aulizwe Mwenyekiti wa Kamati aliyeficha ukweli wote wakati anasoma ripoti huyo anamjua vizuri mmiliki wa Richmond! Namfahamu Lowassa kwa jinsi alivyoasisi Shule za kata japo manyang'au yaliyopo yamefanya zionekane hazina maana kwa kushindwa kuzisimamia zitoe elimu bora! Walimu wa kwenye hizo shule wanaendesha migomo baridi! Daima nitamkumbuka Lowassa kwa maamuzi magumu!
 
hao wanaomshabikia ni wagonjwa wenzake ambao wamerishana kiapo " tunao ugua pamoja tutafurahi pamoja."wanajiriwadha tu


Mawazo yako yatabakia kuwa ya kwako na hutatulazimisha kuchagua unayemtaka wewe. Kila mtu yuko huru kutumia akili zake kuchagua anayemtaka. Kwani wewe ushapimwa? Unawaaminisha watu ugonjwa wa kusadikika kwani we umekuwa daktari wake na ulimpima lini? Wadanganye vilaka wenzako.
 
mtoa mada anadai amemtangulia darasa lowasa,nadhani uzee ama wivu wa kizee unamsumbua
 
Miaka ya sabini mwishoni akiwa kijana mdoogo ali deposit fedha za kutosha ''NBC clock tower branch''
Jamaa wa usalama walimfuatilia ikajulikana fedha hizo alizipaka kwa dhuluma na kusababisha mauti ya watu kadhaa.
Kama aliweza kufukia soo ile enzi za mwl.huyu jamaa ni zaidi ya umuonavyo.
Pia ali arrange wakamla tigo jamaa mmoja alikuwa anaitwa Sammy Mdee (pia alikuwa AICC)kwa kumchomekea kwamba katembea na mkewe.
Wazee wa zamani mtayakumbuka haya.
Nashangaa watu wanavyompamba huyu laana atakaye kufa soon.
 
Sijawahi kuona kiazi kama wewe na sidhani kama wewe ni mtanzania huwezi mdharau lowassa kiasi hicho kwa sababu kuna mema kafanya pia mm nilidhani utatuorodheshea na mema aliyoyafanya. Mm binafsi ni msomi mzuri wa chuo kikuu cha dar es salaam napinga vikali siasa za kuchafuana ambazo hazina faida yoyote kwa mtanzania wa kawaida. Naomba utueleze kwa hoja huyo unayedhani anafaa kuliko lowassa atatufanyia nini? Au ni walewale wa wapigwe tu? Tanzania haihitaji chama chochote cha siasa ili iendelee inahitaji watu wachapakazi na wenye uchungu na nchii hii ambao wanapatikana ndani ya ccm na ukawa. Kwa mfano pro lipumba ni mchumi mzuri anayetumikia dunia ila cha kushangaza kwa sababu yupo cuf hawezi kupata hata uwaziri wa fedha na uchumi ili atuboreshee uchumi wetu hii ni faida au hasara kwa nchi? Kwenye ofisi za umma tunajazana kwa kufahamiana nchi hii haiwezi kuendelea kwa stahili hii. Narudia ccm na ukawa kuna watu wazuri sana wanaoweza kuongoza nchi yetu ikaendelea ila siasa za maji taka zitaimaliza nchi. Samahani sana kama nimekukwaza
 
eti wanamwita waziri mkuu mstaafu...! mimi najua alijiuzulu kwa kashfa

Hata Mzee Mwinyi alijiuzulu kwa kashfa ya kuwajibika kisiasa kama Edo. Mzee Edo mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma
 
- EL ni muasisi wa ufisadi na ni FISADI nambari one Tz
- an roho mbaya sana na anaweza akamfanya mtu chochote pale anapotofautiana naye.(amewafanyia vibaya watumishi wengi na wafanya biashara ambao hawamhusudu ikiwepo kuhamishiwa porini kabisa)
- an kisasi kibaya sana (anachukua kitu moyoni)- ( muulize aliyekuwa Mkurugenzi wa same -ile issue ilikuwa ni kisa cha kuhisi mume wake yule mama alimdhulumu kwenye biashara zaidi ya miaka 10 kabla hajaja kulipiza, muulize pia Mwakiembe)
- anapenda kunyenyekewa sana (waulize kina Moloimiet, Sendeka, lekule Laizer, Elisa Mollel etc)
- hataki challenge (waulize waliojaribu kutafuta au waliopata nafasi za kisiasa Monduli-1 of them Peter Sironga, aliyekuwa RPC kabla ya yeye kuwa PM na waliofaidi ni kina DC -Lemburis Kivuyo, aliyekuwa OCD-Monduli kabla ya yeye kuwa PM etc)
- Ni malaya: muulize mumewake na Beatrice, DC- Lembris (wako wengi sana wake wa watu na malaya tu)
- Ni mladhuluma: amewadhulumu wengi mali zao akiwepo jamaa mmoja maskini kamnyamg'anya kiwanja mjini Arusha
- Mbinasi: Kila anachkifanya anataka yeye afaidike kwanza kabla ya uma. mfano mradi wa maji ya Mondulitoka Ngaramtoni aliiba zaidi ya biliono 20 na alitaka achukue shamba la mbegu ngaramtoni afungue mradi wake wa kilimo na atumie yale maji, Kumbuka RICHMOND pia, viwanja alipokuwa waziri wa ardhi.

- ni FISADI MKUU hata pale Mondui: Monduli tenda zote either ni za ndugu zake au vibaraka vyake, hela za maendeleo ya h/mashauri lazima yeye amege kwanza za kwake ndipo madiwani wakajadili salio.

- hataki kubishiwa: muulize RPC-Arusha kabla ya yeye kuwa PM, muulize aliyekuwa diwani, Sepeko, Mtowambu (Ramadhani), Mama mmoja aliyekuwa diwani Monduli-marehemu sasa ni inaaminika amehusika kumwondoa

- A tamaa sana: Kila kampuni inayofanya vizuri anataka amiliki hisa(muulize Mengi kwanini hawapatani na wenye makapuni ngingi ndani na nje yamkoa wa Arusha.

- NI DICTATOR WA MASLAHI BINAFSI: muulize mtumishi yeyote aliyeko Monduli ambaye ni mzalendo na anajielewa, muulize Sam Laizer, Marehemu sasa

- an Hila nyingi mbaya

- MTOA RUSHWA MBAYA (kila mtanzania analiona hilo) kama ana sifa hela za nini kumwaga kwa kasi kubwa namna hiyo? atazirejeshaje:

- ANAUMWA: ana ugonjwa wa kutetemeka mwili na magonjwa mengine SUGU

- Ni mfanya biashara wa nyara za taifa

- Si mkweli: mfano anamilikimali nyingi sana lakini alishawahi kusema ana miliki ng'ombe wachache tu

Niishie hapa kwa leo
 
wewe orodhesha Vs mabaya na uzito wake lakini pia sababu iliyomfanya kufanya hayo mazuri;

MAKE MIMI NAJUA NI KWA MASLAHI YAKE BINAFSI. either ya kiuchumi au ya kisiasa
 
Sijawahi kuona kiazi kama wewe na sidhani kama wewe ni mtanzania huwezi mdharau lowassa kiasi hicho kwa sababu kuna mema kafanya pia mm nilidhani utatuorodheshea na mema aliyoyafanya. Mm binafsi ni msomi mzuri wa chuo kikuu cha dar es salaam napinga vikali siasa za kuchafuana ambazo hazina faida yoyote kwa mtanzania wa kawaida. Naomba utueleze kwa hoja huyo unayedhani anafaa kuliko lowassa atatufanyia nini? Au ni walewale wa wapigwe tu? Tanzania haihitaji chama chochote cha siasa ili iendelee inahitaji watu wachapakazi na wenye uchungu na nchii hii ambao wanapatikana ndani ya ccm na ukawa. Kwa mfano pro lipumba ni mchumi mzuri anayetumikia dunia ila cha kushangaza kwa sababu yupo cuf hawezi kupata hata uwaziri wa fedha na uchumi ili atuboreshee uchumi wetu hii ni faida au hasara kwa nchi? Kwenye ofisi za umma tunajazana kwa kufahamiana nchi hii haiwezi kuendelea kwa stahili hii. Narudia ccm na ukawa kuna watu wazuri sana wanaoweza kuongoza nchi yetu ikaendelea ila siasa za maji taka zitaimaliza nchi. Samahani sana kama nimekukwaza

[wewe orodhesha Vs mabaya na uzito wake lakini pia sababu iliyomfanya kufanya hayo mazuri;

MAKE MIMI NAJUA NI KWA MASLAHI YAKE BINAFSI. either ya kiuchumi au ya kisiasa]
 
umeandika vizuri umeharibu hapo tu pakumtaja lowasa , mwizi fisadi wa kutisha. Kama wewe ni timu lowasa utueleze utajiri wote huo aliokuwa nao kaupata wapi ? Nyerere mwenyewe kakaa ikulu miaka 25 hajaondoka na fedha yote hiyo.

amerithi mifugo toka kwa wazazi wake nae akaiendeleza.
 
1.Namfahamu Lowasa aliyeleta/simamia maji ktk Ziwa Nyanza mpka Mikoa ya Shinyanga kwenye Wilaya kama Kahama, na sasa mpaka Tabora na baadaye Singida!

2.Namfahamu Lowasa aliyesimamia Ujenzi wa Shule za Kata Tanzania nzima na sasa Mtoto wa Kitanzania anazaliwa kijijini fulani na hatoki kwenye Kata yake mpaka anafika Kidato cha nne!

3.Namfahamu Lowasa aliyevunja Mkataba wa kinyonyaji kati ya City Water ya Ulaya na DAWASA ambapo wazungu walitaka kubinafsisha maji yetu!

[Yaani mnataka awe rais kwa ajili ya haya mambo matatu tu? wakati mambo yenyewe ndiyo hapa hini?
1.
Alisimamia mradi wa maji kwa kuagizwa na BMk (kiboko chake) make ilikuwa wajibu wake kama waziri wa maji lakini mbona aliiba hela nyingi tu???

2. Aliwalazimisha wananchi MASKINI wa kitanzania kuchangia ujenzi wa shule huku yeye anapiga RICHMOND na kama ana unapenda watanzania wasome na waelimike vizuri mbona hajawaekea facilities muhimu?? kama maabara, na library, ni watoto wangapi wanatoka kwenye hizo shule za kata kwenda sekondari? kama si kwamba over 95% wanarudi kijijini kuwa wavuta bangi na uchangu?]

3. Alivunja huo mkataba kwasababu hakuufaidi!!!!!!!!!!!!
 
- EL ni muasisi wa ufisadi na ni FISADI nambari one Tz
- an roho mbaya sana na anaweza akamfanya mtu chochote pale anapotofautiana naye.(amewafanyia vibaya watumishi wengi na wafanya biashara ambao hawamhusudu ikiwepo kuhamishiwa porini kabisa)
- an kisasi kibaya sana (anachukua kitu moyoni)- ( muulize aliyekuwa Mkurugenzi wa same -ile issue ilikuwa ni kisa cha kuhisi mume wake yule mama alimdhulumu kwenye biashara zaidi ya miaka 10 kabla hajaja kulipiza, muulize pia Mwakiembe)
- anapenda kunyenyekewa sana (waulize kina Moloimiet, Sendeka, lekule Laizer, Elisa Mollel etc)
- hataki challenge (waulize waliojaribu kutafuta au waliopata nafasi za kisiasa Monduli-1 of them Peter Sironga, aliyekuwa RPC kabla ya yeye kuwa PM na waliofaidi ni kina DC -Lemburis Kivuyo, aliyekuwa OCD-Monduli kabla ya yeye kuwa PM etc)
- Ni malaya: muulize mumewake na Beatrice, DC- Lembris (wako wengi sana wake wa watu na malaya tu)
- Ni mladhuluma: amewadhulumu wengi mali zao akiwepo jamaa mmoja maskini kamnyamg'anya kiwanja mjini Arusha
- Mbinasi: Kila anachkifanya anataka yeye afaidike kwanza kabla ya uma. mfano mradi wa maji ya Mondulitoka Ngaramtoni aliiba zaidi ya biliono 20 na alitaka achukue shamba la mbegu ngaramtoni afungue mradi wake wa kilimo na atumie yale maji, Kumbuka RICHMOND pia, viwanja alipokuwa waziri wa ardhi.

- ni FISADI MKUU hata pale Mondui: Monduli tenda zote either ni za ndugu zake au vibaraka vyake, hela za maendeleo ya h/mashauri lazima yeye amege kwanza za kwake ndipo madiwani wakajadili salio.

- hataki kubishiwa: muulize RPC-Arusha kabla ya yeye kuwa PM, muulize aliyekuwa diwani, Sepeko, Mtowambu (Ramadhani), Mama mmoja aliyekuwa diwani Monduli-marehemu sasa ni inaaminika amehusika kumwondoa

- A tamaa sana: Kila kampuni inayofanya vizuri anataka amiliki hisa(muulize Mengi kwanini hawapatani na wenye makapuni ngingi ndani na nje yamkoa wa Arusha.

- NI DICTATOR WA MASLAHI BINAFSI: muulize mtumishi yeyote aliyeko Monduli ambaye ni mzalendo na anajielewa, muulize Sam Laizer, Marehemu sasa

- an Hila nyingi mbaya

- MTOA RUSHWA MBAYA (kila mtanzania analiona hilo) kama ana sifa hela za nini kumwaga kwa kasi kubwa namna hiyo? atazirejeshaje:

- ANAUMWA: ana ugonjwa wa kutetemeka mwili na magonjwa mengine SUGU

- Ni mfanya biashara wa nyara za taifa

- Si mkweli: mfano anamilikimali nyingi sana lakini alishawahi kusema ana miliki ng'ombe wachache tu

Niishie hapa kwa leo
 
- EL ni muasisi wa ufisadi na ni FISADI nambari one Tz
- an roho mbaya sana na anaweza akamfanya mtu chochote pale anapotofautiana naye.(amewafanyia vibaya watumishi wengi na wafanya biashara ambao hawamhusudu ikiwepo kuhamishiwa porini kabisa)
- an kisasi kibaya sana (anachukua kitu moyoni)- ( muulize aliyekuwa Mkurugenzi wa same -ile issue ilikuwa ni kisa cha kuhisi mume wake yule mama alimdhulumu kwenye biashara zaidi ya miaka 10 kabla hajaja kulipiza, muulize pia Mwakiembe)
- anapenda kunyenyekewa sana (waulize kina Moloimiet, Sendeka, lekule Laizer, Elisa Mollel etc)
- hataki challenge (waulize waliojaribu kutafuta au waliopata nafasi za kisiasa Monduli-1 of them Peter Sironga, aliyekuwa RPC kabla ya yeye kuwa PM na waliofaidi ni kina DC -Lemburis Kivuyo, aliyekuwa OCD-Monduli kabla ya yeye kuwa PM etc)
- Ni malaya: muulize mumewake na Beatrice, DC- Lembris (wako wengi sana wake wa watu na malaya tu)
- Ni mladhuluma: amewadhulumu wengi mali zao akiwepo jamaa mmoja maskini kamnyamg'anya kiwanja mjini Arusha
- Mbinasi: Kila anachkifanya anataka yeye afaidike kwanza kabla ya uma. mfano mradi wa maji ya Mondulitoka Ngaramtoni aliiba zaidi ya biliono 20 na alitaka achukue shamba la mbegu ngaramtoni afungue mradi wake wa kilimo na atumie yale maji, Kumbuka RICHMOND pia, viwanja alipokuwa waziri wa ardhi.

- ni FISADI MKUU hata pale Mondui: Monduli tenda zote either ni za ndugu zake au vibaraka vyake, hela za maendeleo ya h/mashauri lazima yeye amege kwanza za kwake ndipo madiwani wakajadili salio.

- hataki kubishiwa: muulize RPC-Arusha kabla ya yeye kuwa PM, muulize aliyekuwa diwani, Sepeko, Mtowambu (Ramadhani), Mama mmoja aliyekuwa diwani Monduli-marehemu sasa ni inaaminika amehusika kumwondoa

- A tamaa sana: Kila kampuni inayofanya vizuri anataka amiliki hisa(muulize Mengi kwanini hawapatani na wenye makapuni ngingi ndani na nje yamkoa wa Arusha.

- NI DICTATOR WA MASLAHI BINAFSI: muulize mtumishi yeyote aliyeko Monduli ambaye ni mzalendo na anajielewa, muulize Sam Laizer, Marehemu sasa

- an Hila nyingi mbaya

- MTOA RUSHWA MBAYA (kila mtanzania analiona hilo) kama ana sifa hela za nini kumwaga kwa kasi kubwa namna hiyo? atazirejeshaje:

- ANAUMWA: ana ugonjwa wa kutetemeka mwili na magonjwa mengine SUGU

- Ni mfanya biashara wa nyara za taifa

- Si mkweli: mfano anamilikimali nyingi sana lakini alishawahi kusema ana miliki ng'ombe wachache tu

Niishie hapa kwa leo

Hizi ni sifa za mume wako sio.Lowasa
 
Back
Top Bottom