1-Man city_Due to experience and Halland sign
2-Liverpool_Due to experience and Nunez sign
3-Man utd_Due to Ten hag sign and his history as well Martinez signed
4-Chelsea_Due to experience of players signs
5-Arsenal_Due to players signs
6-Tottenham_Due to coach experience and his ability to...
Sasa Liverpool hii inayotoa draw na Newcastle na hii liver iloyokata tamaa na kila kitu...ndio ije ipoteze furaha ya timu iliyotoka kufumua mtu 6 nusu fainali...duuh mze tafuta kingne cha kututisha
Zaidi ni kujishushia thamani ya mapenzi yako tu kwa huyo mpenzi wako. Tafakari baada ya kumpiga wewe ndiye mwanaume bora au ushamba.
Mfanye Mpenzi wako kama mwanafunzi au mtoto kwako utaenjoy, kila wakati utaona kosa sio kosa ila ni haki wewe kumsamehe.
Thats how true loves are made.
Tunapo waza kubadilika ibaki tu story..wengne ndio kwanza wanasema tulisakate et tukazane...kweli tupo tofauti..ila ifike mahali regret on what you doing...ww hujaumbwa kwa ajili hiyo..acha fanya yatakayo kupa credit kwa watu co yanayo discredit alafu ww hujijui...UNADHARAURIKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.