Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha

Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha

Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]afadhali hao wanaoliwa maofisini wako anaweza kuliwa ndani ya nyumba yako na pengine kitanda unacholalia... Wahuni sio watu Napoleone,
Daaaah mchungaji hapo umemfutia ala yake tayari kujichinja mwenyewe
 
Mze...hii kauli ww unaichukuliaga vp...mwanamke hachungwi kuwa ana jichunga mwenyw
Mim nitamchunga,tutakapofikishana ndo hapohapo,..najua hachungwi
 
Jibu unalo.

Unashangaa gwajima? Au kwa kuwa ni mchungaji?
Yule anatafuta pesa. Mchungaji huwezi kaa unashindana na kondoo kama makonda.
Inamaanisha GWAJIMA hana hofu na Mungu?
 
Mi ntamchunga tuu stak ujinga,nkishindwa basi

Huo muda fanya mambo yako
Ni ushauri tu.
Mtimizie unayoweza kwa maamuzi yake binafs atatulia.
Ukiishi nae kwa wasiwasi hutaenjoe hilo penz lenu
Itakuwa ni ugomv wa kila mara na kuzidi kumpush atoke nje
 
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hakikisha unakuja toa report kwa mabaharia na chama chao huku
Ahahahahah.
Kabisaa mkuu.Naomba nichukue jukum la kumfuatilia kwenye hilo
 
Karibuni nyama wakuu,tumefika salama mapema tuu now twapata msos hapa,nyama ya mbusi swafi mi najilipua na Kvant hawa mashost m1 anakunywa wengne hawanywi,ila nahakikisha wanakunywa hata wine ili naniliu zishuke chin,

Hakuna namna sasa...napiga vant kuongeza confidence,..maana nmedhamiria kumla m1 iwe isiwe,ila huyu si mke wa mtu..yule mke wa mtu nmemwogopa maana amejirahisisha sana had nahis kaungua nin
 
Back
Top Bottom