hijer
Member
- Aug 31, 2017
- 29
- 21
Zaidi ni kujishushia thamani ya mapenzi yako tu kwa huyo mpenzi wako. Tafakari baada ya kumpiga wewe ndiye mwanaume bora au ushamba.
Mfanye Mpenzi wako kama mwanafunzi au mtoto kwako utaenjoy, kila wakati utaona kosa sio kosa ila ni haki wewe kumsamehe.
Thats how true loves are made.
Mfanye Mpenzi wako kama mwanafunzi au mtoto kwako utaenjoy, kila wakati utaona kosa sio kosa ila ni haki wewe kumsamehe.
Thats how true loves are made.