Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha

Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha

Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]afadhali hao wanaoliwa maofisini wako anaweza kuliwa ndani ya nyumba yako na pengine kitanda unacholalia... Wahuni sio watu Napoleone,
We jamaa ni malaya sana wanawake wa jf wanasema unawatembezea bakora kimya kimya
 
Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]afadhali hao wanaoliwa maofisini wako anaweza kuliwa ndani ya nyumba yako na pengine kitanda unacholalia... Wahuni sio watu Napoleone,
Mkuu acha tu, haya mambo haya.
Hakuna kuogopa mke Wa mtu akijilengesha kula tu maana hata wako ataliwa hata kama ww huli Wa wenzio
 
Mm mke wangu nitamchukua NYWELE af ntamwambia KUWA MAKINI SANA, SIKU UKIFANYA UPUUZI NIKAGUNDUA UTAOKOTA MAKOPO!!

na HAKIKA AKIJICHANGANYA ATAOKOTA MAKOPO, simpogi wala kumdhuru nikafie SEGEREA ILA ATAPATA TABU SANA
Utamloga mkuu,dih
 
Tunapo waza kubadilika ibaki tu story..wengne ndio kwanza wanasema tulisakate et tukazane...kweli tupo tofauti..ila ifike mahali regret on what you doing...ww hujaumbwa kwa ajili hiyo..acha fanya yatakayo kupa credit kwa watu co yanayo discredit alafu ww hujijui...UNADHARAURIKA
 
Tunapo waza kubadilika ibaki tu story..wengne ndio kwanza wanasema tulisakate et tukazane...kweli tupo tofauti..ila ifike mahali regret on what you doing...ww hujaumbwa kwa ajili hiyo..acha fanya yatakayo kupa credit kwa watu co yanayo discredit alafu ww hujijui...UNADHARAURIKA
Mkuu watu wa dunia hii ni wachafu ukiambiwa unaweza jinyonga,so wacha tulane tuu
 
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hakikisha unakuja toa report kwa mabaharia na chama chao huku
Aje kujisajili kwenye log book ya kula bila kuwa na njaa
 
Back
Top Bottom