Recent content by hewizet

  1. hewizet

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Hapa Napo Ni CCM wametufikisha au Inakuaje?? Namana Gani Pale😆
  2. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

    Tumemaliza wakuu hii biashara
  3. hewizet

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Maendeleo Yatachelewa Sana Kwa Hizi Akili
  4. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

    Jirani Vijana hawakuiba apo kunataka online business sana kama mdau mmoja alivyosema
  5. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

    1. Msumeno wa kukatia nyama wa umeme brand ya capital 800w (maelezo zaidi kwenye picha) uko na extra blade - 1.5m 2. Chest Freezer kubwa aina ya Snowsea ina glass za kusukuma kwa ndani na ina milango miwili- 950k 3. Chest freezer ndogo aina ya Snowsea 350k 4. Ac ya hisense 9000btu complete 500k...
  6. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa sasa naona iko poa jaribu kucheki tena
  7. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sorted, Ilikuja kukubali baada ya muda so najiunga tu bila issues
  8. hewizet

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Krismasi uliotumwa na Imam Mohammad Tawhidi

    Hii Christmas ni Tawfiq Kabisa Hii
  9. hewizet

    JamiiForums Tanzania Azim Dewji: Muislamu Usipomuamini Yesu Kristo Basi Wewe Sio Muislamu

    Mtu anakaa mwanagati domo la simba, lazima mawazo yatadumaa tu ndio wanaangukia kwenye kutaka kukata shingo za wengine
  10. hewizet

    JamiiForums Tanzania Kwa sababu ya utawala mbaya wa CCM kila atakayefurahi Taifa stars ikifungwa weka comment hapa

    Hata ukiipenda itakung'utwa tu
  11. hewizet

    JamiiForums Tanzania Bila Mange Kimambi nchi ingekuwa na amani sana. Kwa muda mchache aliofungiwa taifa limetulia sana

    Kwa umejiunga Aug 2025 na tayari unawajua masingo maza na pawa tayari ushaishiwa! Unakazwa na mfumo Hii ni maajabu¹
  12. hewizet

    JamiiForums Tanzania Ishowspeed ana miaka 20 anazunguka dunia nzima wewe una 35 hata nauli ya chalinze huna

    Wazee wetu wa kijita ukiwaambia ukweli wanasema umewatukana Kijana kwa hili umetutukana
  13. hewizet

    JamiiForums Tanzania Reincarnation...nazidi kupata uhakika binadamu hatufi

    Labda
  14. hewizet

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwili wa mwalimu John Ogutu aliyeuawa Tanzania uliishia wapi?

    Safari Ya Maendeleo Kwa Watu Wa Dizaini Yako Ni Ngumu Sana Kuifanikisha
  15. hewizet

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mzee Butiku: Rais ameshachaguliwa, hatukubali wanaosema aondoke; sio rais wa CCM, ni wa Tanzania

    Kwenye wasiokubali na warioba mimi sipo! Asinisemee
Back
Top Bottom