Recent content by hewizet

  1. hewizet

    JamiiForums Tanzania Hizo Range Rover unazopishana nazo Vitasa vyake vimeingia kwa ndani, used tu Bila Mil 400 hujamiliki!

    Na moyo wenyewe usiwe umechoka sana! Umesukuma damu miaka 40 na mapenzi nayo miaka 20! Huu wenyewe wanunuzi hawautaki
  2. hewizet

    JamiiForums Tanzania Dangote anambembelezea Rais Samia ujenzi wa mtambo mkubwa wa umeme 2000MW wa makaa ya mawe baada ya kuhamishia ujenzi wa refinery Mombasa kwa hasira?

    Mpango wa umeme ni mzuri kama tuna mahitaji na umeme ila kama hatuna ni matatizo ka dowans na richmond, wangemtaiti awekeze kwenye reli ya kisasa (sgr) ili kuwe na uondoshaji mbadala wa mizigo tofauti na barabara tu, pia abiria wafike maeneo mbali mbali kwa usafiri wa treni ya haraka! Japo umeme...
  3. hewizet

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Kuna jamaa aliulizwa na malaika nikufanyie nini? Ila kabala hajajibu malaika akamapa angalizo kuwa atakachochagua chochote iwe utajiri, mali, afya na mengineyo, jirani yake atafanyiwa mara mbili! Mfano; ukiomba maliaka akupe jero, unapata jero na jirani yako anapata buku! Jamaa akamnong'oneza...
  4. hewizet

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua ni Godoro gani lenye ubora na linalodumu zaidi

    Nliuziwa Vita Form hata mwezi halikumaliza, unachoka mpaka inabidi usiku uamke upumzike!
  5. hewizet

    JamiiForums Tanzania Je, kuna failure ya Intelligence? (Usalama wa Taifa)

    Wote walioachwa wana kadi za Chama! Kwa hio inakua inapigwa training ya intelligence with ukada kama vile enzi zetu tulivyowekewaga physics with chemistry kama somo moja!
  6. hewizet

    JamiiForums Tanzania Unapozomewa ni tafsiri watu hawakuheshimu kama unavyofikiria. Hawakuonei haya

    Vichwa vinawauma
  7. hewizet

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Bado sijapata wakuu
  8. hewizet

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Mwenye kioo cha motorola Z4 play au Samasung galaxy note 10 plus Full display nijuzi tumalize zoezi kesho
  9. hewizet

    JamiiForums Tanzania Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Hapa Napo Ni CCM wametufikisha au Inakuaje?? Namana Gani Pale😆
  10. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

    Tumemaliza wakuu hii biashara
  11. hewizet

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Maendeleo Yatachelewa Sana Kwa Hizi Akili
  12. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

    Jirani Vijana hawakuiba apo kunataka online business sana kama mdau mmoja alivyosema
  13. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

    1. Msumeno wa kukatia nyama wa umeme brand ya capital 800w (maelezo zaidi kwenye picha) uko na extra blade - 1.5m 2. Chest Freezer kubwa aina ya Snowsea ina glass za kusukuma kwa ndani na ina milango miwili- 950k 3. Chest freezer ndogo aina ya Snowsea 350k 4. Ac ya hisense 9000btu complete 500k...
  14. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa sasa naona iko poa jaribu kucheki tena
  15. hewizet

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sorted, Ilikuja kukubali baada ya muda so najiunga tu bila issues
Back
Top Bottom