Mpango wa umeme ni mzuri kama tuna mahitaji na umeme ila kama hatuna ni matatizo ka dowans na richmond, wangemtaiti awekeze kwenye reli ya kisasa (sgr) ili kuwe na uondoshaji mbadala wa mizigo tofauti na barabara tu, pia abiria wafike maeneo mbali mbali kwa usafiri wa treni ya haraka!
Japo umeme...
Kuna jamaa aliulizwa na malaika nikufanyie nini? Ila kabala hajajibu malaika akamapa angalizo kuwa atakachochagua chochote iwe utajiri, mali, afya na mengineyo, jirani yake atafanyiwa mara mbili! Mfano; ukiomba maliaka akupe jero, unapata jero na jirani yako anapata buku! Jamaa akamnong'oneza...
Wote walioachwa wana kadi za Chama! Kwa hio inakua inapigwa training ya intelligence with ukada kama vile enzi zetu tulivyowekewaga physics with chemistry kama somo moja!
1. Msumeno wa kukatia nyama wa umeme brand ya capital 800w (maelezo zaidi kwenye picha) uko na extra blade - 1.5m
2. Chest Freezer kubwa aina ya Snowsea ina glass za kusukuma kwa ndani na ina milango miwili- 950k
3. Chest freezer ndogo aina ya Snowsea 350k
4. Ac ya hisense 9000btu complete 500k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.