Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

Vifaa vya bucha (butchery) vinauzwa

bora tu aifunge maana location iliyopo hakuna mzunguko wa biashara kabisa,, alf anaingia gharama kubwa kulipia kodi plus umeme,,, ofisi naifaham ni miongoni mwa zile frame za Lugalo
Jirani
Shida nini? Location au vijana wanakuibia? Sema biashara zinataka uvumilivu sana
Vijana hawakuiba apo kunataka online business sana kama mdau mmoja alivyosema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom