Ile bendera ya taifa inarangi nne ambazo zinamaana!ukitaza kwa kina tanzania tumebaki na zile rangi tu lakin vitu vinavyowakiliashwa na zile rangi hatunufaiki navyo!con xababu ya kuheshimu vitambaa vyenye rangi ziczo na maana kwetu
Shikamoo ni xalamu ambayo haina maana ya heshima ilitumiwa wakati wa utumwa ikiwa na maana ya nko chini ya miguu yako lakin waswahili wakalichukulia kama neno linaloweka heshima kati ya mkubwa mdogo ndo maana hili neno halina tafsiri katika lugha zetu za kikabila ninavyoona hili neno lanakufa...
Tatizo hapa ni adhari za lugha mama yaan lugha za makabila mf wakuria hutumia xana r hivyo hata kwenye l wanaweka r!jambo la msingi hapa ni kuhakikisha kwamba zile athari za lugha mama haziharibu kiswahili na hiyo ni xifa ya wataalamu wa lugha
Waswahili huxema ukilikoroga lazima ulinywe!uliwahi kumtambulisha bila hata kumjua kiundani!achana nae na hilo liwe fundisho kwako,waeleze wazazi coz ww co wakwanza kuachwa baada ya utambulisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.