Nimeshamtambulisha nyumbani lakini.........

huyo hakufai tafuta mwingine usilazimishe inawezekana Mungu amekuepushia jambo baya
 
je unadhan ulfanya kosa kumtambulisha? je,unadhan utafanya kosa kumtambulisha mwngne? je,unadhan ni vibaya ukiwaambia wazaz kuwa umepgwa chini? tafakar kwa kina...
sidhan km hili jambo linaweza umiza kichwa cha mtu.

Gud advice thnx.
 
Hii nayo kali kabisa!hivi wewe kukutana na mtu tu stendi ndo unafanya usajili??hata kuku huoni kifaranga cha miezi mitano hakifai hata kuchinja??sasa ukija dsm hapa posta si ndo kila baada ya dk 1 unaenda kutambulisha??acha kukurupuka ndugu kwa namna yako hiyo tuaishia kuopoa milupo kila kukicha jipange!
 
Asikuumize kichwa huyo, alitaka apate mtu wa kumgegeda kwa muda akiwa huko, hakufai
 
hi wana jf naomben ushaur wenu...
Kuna dada nilikutana nae maeneo ya mwanza stendi alikuwa anatoka dzm, nilimpenda xn nikaamua kumuomba namba yake akanipatia tukawa tunachati na mwisho wa siku 2kakubaliana tuwe wapenzi
Nimekuwanae kimahusiano miezi mitano akadai nimpeleke nikamtambulishe nyumban kwe2 na mm sikukataa nikampeleka wazaz wng wakamuona
Siku zlvyozid kwenda mbele akasema aende dar kuwasalimia ndugu zake sikumkataza akaenda
kumbe huko dar kuna mpenz wake alyekuwaga nae kipnd akiwa huko na saiv ananitumia msg kuwa hanitaki na hanipend simsumbue
JAMANH NFANYAJE NA WAKAT TAYAR NIMESHAMTAMBULISHA NYUMBAN?


Mara nyingine Ukome nani alikuambiwa ukishamtambulisha nyumban ndo huwez Kumuacha,...Watu wanarudishiwa MAhari zao ije iwe ww Bhaaaana<..Amka Mwanaume Dunia hiyo tushaiacha muda sana
 
Jamani mimi nawashangaa sana wanajamvi hapa jamvini hivi kuna kosa gani mtu kuleta ombi lake hapa tena akijua kuwa kuna ma-great thinker hapa waliobobea katika kila nyanja sasa kikubwa jamani mshaurini mambo ya kuanza kumponda wewe ni msukuma sijui imepanda imeshuka haitamsaidia kikubwa watu ambao mlishapitia haya matatizo naomben msaidien huyu kijana wetu jamani sio kila mtu anajua akipata tatizo tena ni kubwa la mahusiano atajua alitatue vipi...yeye nadhani anachohofia hapa ni vile alishamtambulisha kwao na inawezekana ni first time kuwatambulisha wazazi......
wenye maujuzi yenu hebu tiririkeni hapa shukrani kwa walie mliompa ushauri mzuri sii wa kumkejeli...

Wangu ni hivi...Mussa wa ukweli naamini we ni waukweli kama jina lako linavyosema kwenye mahusiano kuna vitu vingi vya kutegemea kuna kuachwa kuacha na kushitiana soo hii isiwe big issue sana kwako kama amesema hakutaki basi funga ukurasa tulia kwanza akili ikae sawa utapata ukurasa mpya...kumbuka kuna watu wanaambiana siku ya harusi kwamba sikutaki halafu mungu aliyekuumba kuna wako wa ukweli aliyekuandalia kwa hiyo we tulia siku ikifika utakuja hapa juwaan kutushukuru kwa kumpata wako wa moyo usiwe na haraka haya mambo hayataki haraka kikubwa ni kuwa mvumilivu na kuwa na subira...kila la heri kaka...
 
Angalia vizuri either una moja kati ya haya:-
1.Hauna hela
2.Hauna Future
3.Kitandani kwishne nei
4.kakuona Zombie au Wakuja aka Mshamba

====================
Ukipata Ujumbe wa Chuki Matusi Futa Delete Kabisa.
====================
 
Sema ukweli na ukweli utakuweka huru! Unataka utoe fotokopi ili uendelee kwenda nayo kwenu?
 
Hii nayo kali kabisa!hivi wewe kukutana na mtu tu stendi ndo unafanya usajili??hata kuku huoni kifaranga cha miezi mitano hakifai hata kuchinja??sasa ukija dsm hapa posta si ndo kila baada ya dk 1 unaenda kutambulisha??acha kukurupuka ndugu kwa namna yako hiyo tuaishia kuopoa milupo kila kukicha jipange!

poa bro.
 
Waswahili huxema ukilikoroga lazima ulinywe!uliwahi kumtambulisha bila hata kumjua kiundani!achana nae na hilo liwe fundisho kwako,waeleze wazazi coz ww co wakwanza kuachwa baada ya utambulisho
 
Angalia vizuri either una moja kati ya haya:-
1.Hauna hela
2.Hauna Future
3.Kitandani kwishne nei
4.kakuona Zombie au Wakuja aka Mshamba

====================
Ukipata Ujumbe wa Chuki Matusi Futa Delete Kabisa.
====================

wa2 2natofautiana bro atakayetoa matus hamna shda cwez ku delete.
 
Back
Top Bottom