ABDUL JIRANI
Senior Member
- Jul 20, 2013
- 176
- 52
Watalii wana dharau sana bana, Mtalii amekodi boti anazunguka nalo kwenye mto zambezi kuangalia mandhari,akamuuliza kijana anayeongoza boti, "do you know biology,psychology and anthropology?" kijana akajibu "NO" Mtalii akamwambia "What the hell do you know under the sun?
You are useless, and u'll die with your illiteracy!" baada ya muda boti ikaanza kuzama, kijana akamwambia mtalii "Do you know kuogelealogy and kusepalogy from mambalogy? Mtalii akajibu huku ametoa macho "No" kijana akamwambia
"You will kufalogy and mambalogy wil eat your matakology because of your bad-mdomology" Chezea kizungu wewe!
You are useless, and u'll die with your illiteracy!" baada ya muda boti ikaanza kuzama, kijana akamwambia mtalii "Do you know kuogelealogy and kusepalogy from mambalogy? Mtalii akajibu huku ametoa macho "No" kijana akamwambia
"You will kufalogy and mambalogy wil eat your matakology because of your bad-mdomology" Chezea kizungu wewe!