Mwanaume akikucheat akakurudia hua ana pause tu..... then mkishakua stable ana rud kule kule...... but kama bado unampenda mwambie muoane tho hataacha kucht ila atleast utakua umewekwa ndani
Ntafanya na kumsaidia sana tu but si wakati wa kunichumbia better hata nkaongea na wazazi wampunguzie o atoe kwa awamu ila Mie kujitolea mahari never!!
Mimi pia naweza msaidia mtu katika Mambo mengine ata asiponivisha pete haina shida ilmrad tumependana...... ila kumsaidia eti kunitolea mahari uwiii siwezi ntakua najichumbia.... kijana kama Mambo hayajakaa sawa atulie kwanza atafute pesa.
Yaan mtu akifanikiwa watu wanaeka chuki za wazi ....... ye kiba si atoke tu kwani kuna haja gani ya kumtisha diamond mashabiki ndo watajua nani ni nani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.