Sitashangaa wanawake wakifika huku

Sitashangaa wanawake wakifika huku

oophss! Umewrong vibaya sana mkuu...
Mtu anapokuangalia haimaanishi kuwa anakupenda au anakutaman.
Inaweza kuwa
. Anakushangaa jinsi ulivyo wa ajabu,
. Anakufananisha na kikaragosi kwajinsi ulivyojitia mkorogo,
. Anakudharau kwa ufinyu wa akili yako jinsi ambavyo hujiamin na uasili wako,
. Anakuangalia ili apate cha kuja kuwaonya wengne wasiwe kama aliyejipiga bandia
. Hayo na mengne mengi tu.

Kama wa kukuelewa atakuwa amekuelewa mkuu
 
yaani huoni kabisa hayo mambo yana uhusiano wa moja kwa moja na sisi?? tukiwaacha hivyo wake wa kuoa tutawatoa wapi?

Wapo kibao wanaokubali kutokufanya hayo mtuache wenye maisha yetu lol
 
Nyie hampend lakin wapo wanaopenda na kwao nisawa tu... mbona hao hao ni wake... girlfriends.... watoto....vimada...nyumba ndogo.....wadogo.....mama......dada... wa hao hao wanaume
 
Hapo unakuta m2 kaweka makucha utafikiri ni VAMPIRE anatafuta damu
 
Back
Top Bottom