kipusatembo
Member
- Jun 19, 2014
- 88
- 29
- Thread starter
- #21
Angenitongoza ndo angeharibu kila kitu make sipendi kutongozwa....
Sa ilikuajeee tupe mauhondo maana u gvn us nusu nusu..... Hihihihi
Angenitongoza ndo angeharibu kila kitu make sipendi kutongozwa....
Kwa jinsi nilivyo fanya ndo nitakuwa nimeku Joboa au ???
Viswahili vingine shida tupu.
Sa ilikuajeee tupe mauhondo maana u gvn us nusu nusu..... Hihihihi
Nashukuru alinipa namba zake, tukawa tunachat nakumbuka mlio wa msg ulikuwa ule wimbo wa "billionaire"
yani akintxt nikisikia tu "I wanna be a billionaire...nasisimka hadi nywele, yani nalegea najihisi makopa kopa moyoni
dah basi bana siku hiyo ijumaa jioni.....ngoja nkakojoe narudi kukumalizia