Mimi nitashauri kama ifuatavyo, hapo aangalia target yake ya kupractice ni wapi....kama ametarget soko la Tanzania its better akafanya CPA kwanza, lakini kama Target yake ni International Market anaweza fanya ACCA.
Kuhusu Masters nanavyojua mimi: Karani ( Wrongly known as Accountant) mwenye...
Million 2 haifanani kabisa na huyo unaeenda kumuweka ndani, mkeo atakuwa hazina na kampani pekee katika maisha yako yote yaliyobaki. Kama unauwezo wa kulipa lipa kama huna bargain kwani mahari ni makubaliano na huwa haimalizwi, kutegemeana na mila na desturi husika kuna vitu wanaweza vipunguza...
Umefanya vizuri kuuliza, CPA sio kitu cha masihara.
Njoo inbox nikupe in and out. Nitakueleza kadili ya uwezo wangu maana njia za kufanya vizuri sio constant kwa watu wote.
Pole sana mkuu.
Kunywa pombe kwa kiasi na kwa uhitaji ni muhimu sana, sio lazima unywe kila siku hata kama huna hamu ya kunywa.
Ki ukweli kuacha pombe ni kazi sana hasa unapokuwa umefika level uliyopo wewe. Mimi naushauri yafuatayo:-
1. Kwanza kabisa, Mrudie Mungu kwa kufanya ibada na kushiriki...
Good observation.
Swali langu ni kwamba umejuaje kama hizo ndizi zinafanana urefu na uzito mpaka zikagawanywa kwa tatu kupata thamani ya ndizi moja.......?
That great Samaritan, An auditor can only form an opinion on the financial statement (Balance sheet) but God is far far far ahead of those small things.
My appreciation for your answer.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.