Kobe JF-Expert Member Joined Jun 17, 2009 Posts 1,793 Reaction score 815 Dec 27, 2015 #21 Hii kitu inatumikaga kupozea uji wa komoni!!
D Descartes JF-Expert Member Joined Jul 24, 2013 Posts 2,765 Reaction score 1,664 Dec 27, 2015 #22 Kingsharon92 said: Mkuu cha UK achana nacho kuna jamaa yangu alikipuliza akawa anakwepa manyunyu ya mvua halafu yuko mbio anasema wanamkojolea Click to expand... Mkuu, umekosa huruma na mbavu zangu...
Kingsharon92 said: Mkuu cha UK achana nacho kuna jamaa yangu alikipuliza akawa anakwepa manyunyu ya mvua halafu yuko mbio anasema wanamkojolea Click to expand... Mkuu, umekosa huruma na mbavu zangu...
Kingsharon92 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 8,492 Reaction score 12,108 Dec 27, 2015 #23 Descartes said: Mkuu, umekosa huruma na mbavu zangu... Click to expand... Mkuu hicho ndiyo cha UK
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 29,097 Reaction score 35,476 Dec 27, 2015 #24 Wapo safi
Gwangambo JF-Expert Member Joined Jun 30, 2012 Posts 3,637 Reaction score 1,208 Dec 27, 2015 #25 Hapo sio kwetu... big NO!
HERITAGE Senior Member Joined Jul 12, 2012 Posts 109 Reaction score 51 Dec 28, 2015 #26 Amavubi said: Click to expand... Waache kwenda kwa Mmosya, Ndulilo,Jordan au Kiwira waangaike na makaratasi hayo unaogelea ka umefugwa miguu bhana.
Amavubi said: Click to expand... Waache kwenda kwa Mmosya, Ndulilo,Jordan au Kiwira waangaike na makaratasi hayo unaogelea ka umefugwa miguu bhana.
sherif john brown Member Joined Nov 5, 2015 Posts 66 Reaction score 22 Dec 28, 2015 #27 Tukuyu kuna mabwawa kibao ya asili nisemu Rungwe kwa ujumla, kuna kisiba, Ikapu, Ikama ,kitema nk. Tembeleani tukuyu muone maajabu ya Muumba
Tukuyu kuna mabwawa kibao ya asili nisemu Rungwe kwa ujumla, kuna kisiba, Ikapu, Ikama ,kitema nk. Tembeleani tukuyu muone maajabu ya Muumba
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,922 Dec 28, 2015 #28 Alimradi wanafurahi its doesn't make any difference na fancy swimming pool
LING'WINA Senior Member Joined Jan 4, 2012 Posts 170 Reaction score 114 Dec 29, 2015 #29 acha maisha yaendelee