Mambo yenu ya Utumishi wa umma hukuhuko maofisini kwenu, nyie si ndo wale mnaotumikaga kwenye kusimamia uchaguzi, mmeshasahau mara hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro fisi akitaka kula baadhi ya watoto wake kwanza anaanza kuwashutumu kuwa wananukia kama mbuzi ili ahalalishe ulaji wake. Hii ya Makonda kuzuia ni starter kuna kitu wanatafuta. Bahati mbaya wanaopaswa kusema ukweli wanaimba nyimbo za sifa na utukufu sababu wamekula na kushiba.
Sent using...
Na akae akielewa, kuwa Mheshimiwa rais yeye anankinga ya kutoshtakiwa. Ila rais huyu akiondoka madarakani Makonda atatumia muda mwingi wa maisha yake mahakamani kama siyo jela sababu ametengeneza mwenyewe maadui wengi nje na ndani ya nchi na wanachofanya ninkumkusanyia ushahidi tu. Yaani huyu...
Fanya kazi wewe tafuta hela acha ujinga. Unayemtetea yeye pamoja na familia, ndugu zake na marafiki wanakula kiyoyozi maisha matamu na walinzi kila kona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anaweza akakukubalia hivyo unavyotaka mpaka kipindi flani lakini akawa anawagonga wengine nje au hata kinunua makahana au hata kumtafuna rafiki yako.
Tatizo una nia njema ila unaonekana umevurugwa sana kwenye relation ndo maana kila anayekuja unaona ninkama yule aliyepita. Utajikuta...
Kwa kuwa na watu wenye fikra kama wewe nchi hii itaendelea mwaka 15000. Yaani kikosa kwako ajora no sababu ya kuona wengina hawastahili malipo mazuri? Kwahiyo hata waalimu waliokufundisha na utukitu wako bado unaona wasilipwe vizuri kisa wewe huna ajira? Kwa fikra kama hizo lazima utakuwa na...
Kama kuna watumishi wa umma mil 2. Maana yake.kila.mtu kuna watu kumi nyuma yake ambao ni dependants directly or indorectly. Maana yake kuna watu 20Mil wanaoathirika na agenda hiyo. Utumishi wa umma kwa ujumla upo frustrated. Naona vyombo ya ulinzi na usalama.na wanasiasa ndo wananeemeka na nchi...
Baba unaweza kubadili battery ila ngoma ikabaki mulemule. Inawezekana alternator hai charge battery vizuri. Kwa ufupi unachopaswa kufanya ni kucheki mfumo mzima wa umeme kwenye gari yako.
Ingekuwa tunaongelewa wanyama hiyo dada ni mbwa ila yeye ni aina ile wanapata chanjo, analala pazuri na anaingia nyumba ya ibada. Mwanaume mwenye akili haupotezi muda hapo maana wapo mabinti wengi makanisa ila ni mawakala wa kuzimu. Umeshazini, hapo shetani keshajitwalia wake. Walokole mna mambo...
Huko ma8sha ni tait balaa yaani maduka ni mengi kuliko watu wenyewe. Labda kijijni huko kibosho, sanya juu, machame, uru, old.moshi ,kahe, marangu, uchira, Kv(K vant wanapaita), mwika, na rombo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.