Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,103
- 34,063
Habarini Wadau,
Ninaomba kuuliza lakini pia kupatiwa msaada katika jambo hili.
Mwaka Jana mwezi wa 5, watumishi wengi wenye sifa walipandishwa madaraja. Lakini cha kushangaza katika mabadiliko ya mishahara ni kama kuna ubaguzi kwa watumishi.
Kwa Mkoa wa Kilimanjaro kuna ambao wamebadilishiwa mishahara na wengine wenye barua kabisa za kupanda daraja mishahara yao haijabadilika.
Mimi nina miaka 7 tangu kuajiriwa, huu ni wa 8. Nilipoajiriwa baada ya miaka miwili nikapata ruhusa rasmi ya kwenda masomoni, nikarudi kazini tangu 2017 na kufanya kazi kwa miaka miwili na huu wa 2020 ni wa tatu.
Nimepata barua ya kupandishwa daraja mwaka jana lakini leo Afisa Utumishi wilaya ananiambia kuwa sina sifa ya kubadilishiwa mshahara hata kama barua imekuja.
SABABU: Afisa Utumishi anasema kuwa kuna Mwongozo umekuja ambao hautambui ule muda wa mtumishi kuwa masomoni kuwa upo ndani ya Utumishi hata kama alienda kwa barua rasmi bila kutoroka.
SWALI: NI KWELI HUO MWONGOZO UPO? JE, NI RASMI ?
Au upo kwa Mkoa wa Kilimanjaro tu?
Naombeni Msaada wenu.
=======
Soma pia:
1) Je, watumishi wa umma watarajie nyongeza ya mishahara 2019/2020? - JamiiForums
2) Serikali: Mishahara minono yaja kwa watumishi wa umma - JamiiForums
3) Mwaka wa 4 watumishi wa umma bila nyongeza ya mshahara - JamiiForums
4) Kama Serikali itashindwa kuwaongezea mishahara watumishi wa umma 2020 vyama vya wafanyakazi vifutwe - JamiiForums
5) Maadhimisho ya Siku ya Sheria: Rais Magufuli adai hata yeye mshahara haumtoshi, awaasa wapelelezi kuharakisha upelelezi - JamiiForums
6) Mei Mosi 2019: MEI MOSI 2019: Rais Magufuli asisitiza kuwa ataongeza mishahara akikaribia kuondoka madarakani. Awataka wafanyakazi kuwa na subira - JamiiForums
Ninaomba kuuliza lakini pia kupatiwa msaada katika jambo hili.
Mwaka Jana mwezi wa 5, watumishi wengi wenye sifa walipandishwa madaraja. Lakini cha kushangaza katika mabadiliko ya mishahara ni kama kuna ubaguzi kwa watumishi.
Kwa Mkoa wa Kilimanjaro kuna ambao wamebadilishiwa mishahara na wengine wenye barua kabisa za kupanda daraja mishahara yao haijabadilika.
Mimi nina miaka 7 tangu kuajiriwa, huu ni wa 8. Nilipoajiriwa baada ya miaka miwili nikapata ruhusa rasmi ya kwenda masomoni, nikarudi kazini tangu 2017 na kufanya kazi kwa miaka miwili na huu wa 2020 ni wa tatu.
Nimepata barua ya kupandishwa daraja mwaka jana lakini leo Afisa Utumishi wilaya ananiambia kuwa sina sifa ya kubadilishiwa mshahara hata kama barua imekuja.
SABABU: Afisa Utumishi anasema kuwa kuna Mwongozo umekuja ambao hautambui ule muda wa mtumishi kuwa masomoni kuwa upo ndani ya Utumishi hata kama alienda kwa barua rasmi bila kutoroka.
SWALI: NI KWELI HUO MWONGOZO UPO? JE, NI RASMI ?
Au upo kwa Mkoa wa Kilimanjaro tu?
Naombeni Msaada wenu.
=======
Soma pia:
1) Je, watumishi wa umma watarajie nyongeza ya mishahara 2019/2020? - JamiiForums
2) Serikali: Mishahara minono yaja kwa watumishi wa umma - JamiiForums
3) Mwaka wa 4 watumishi wa umma bila nyongeza ya mshahara - JamiiForums
4) Kama Serikali itashindwa kuwaongezea mishahara watumishi wa umma 2020 vyama vya wafanyakazi vifutwe - JamiiForums
5) Maadhimisho ya Siku ya Sheria: Rais Magufuli adai hata yeye mshahara haumtoshi, awaasa wapelelezi kuharakisha upelelezi - JamiiForums
6) Mei Mosi 2019: MEI MOSI 2019: Rais Magufuli asisitiza kuwa ataongeza mishahara akikaribia kuondoka madarakani. Awataka wafanyakazi kuwa na subira - JamiiForums