Kupima kusikie tu kwa jirani aseee leo nimetoka kupima iyo presha nilokua nayo duuuh hatarii nashukuru mungu majibu yametoka fresh..,,nimeambiwa baada ya miezi mi3 nilud tena silud ng''oooooo
Hongera sana mkuu wanawake so watu wazuri sio kwa kutaka kukugeuka uko hongera sana na pole kwa kesi...mkuu vp kuhusu ajira apo ofisini kwako mkuu please teh teh
Kweli kabisa mpenzi wangu nilie nae hakunisumbua kabisa tuna mwaka na nusu saiv sikupata shida kumtongoza wiki moja tu kila kitu mukideeeeeeee lakini huenda inategemeana na demu mwenyewe yuko vipi huenda ye masaaa tu chap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.