Recent content by Hedu

  1. H

    JamiiForums Tanzania Msimu wa ufuta Mei mpaka Agosti kila mwaka

    😂😂😂😂 ngoja waje
  2. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

    Hakuna mwanamke wa dizaini iiii toka duniaaa kuuumbwaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu zilizonipelekea kutokuwa karibu na mashemeji zangu

    Jinsia yako mkuuu.!
  4. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anadai tukapime ngoma

    Kupima kusikie tu kwa jirani aseee leo nimetoka kupima iyo presha nilokua nayo duuuh hatarii nashukuru mungu majibu yametoka fresh..,,nimeambiwa baada ya miezi mi3 nilud tena silud ng''oooooo
  5. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mjamzito kumnyima mpenziwe tendo la ndoa

    Ivi kwani mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo hadi kipindi mimba ina umri gani?
  6. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini maana ya Kusimamia ukucha?

    Siti ya mbele kabisa ngoja waje wataaaaalam
  7. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilichomfanya Mama Mkwe nadhani hatokisahau kwa muda mrefu

    Anawah au anachelewa
  8. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto wa kike wa baba mdogo ananifuata fuata chumbani na mimi ni wa kiume sipendi

    Kwani uko WAP mkuu
  9. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: kesi nimeshinda

    Hongera sana mkuu wanawake so watu wazuri sio kwa kutaka kukugeuka uko hongera sana na pole kwa kesi...mkuu vp kuhusu ajira apo ofisini kwako mkuu please teh teh
  10. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana Wenzangu Miaka 14 - 25 Punyeto hatari

    Mkuuu ndo nataka nijiengue uko me kumenishinda ata uenyekiti siutaki kabisa
  11. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana Wenzangu Miaka 14 - 25 Punyeto hatari

    Iiiii kitu imenishinda kuacha kabisa aseee nmejaribu njia nyingi sana lakini wap,demu ninae lakini punyeto cjaaacha
  12. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unanchukuliaje mdada unaemtongoza leo, kesho anakupa kila unachokitaka kutoka kwake!

    Kweli kabisa mpenzi wangu nilie nae hakunisumbua kabisa tuna mwaka na nusu saiv sikupata shida kumtongoza wiki moja tu kila kitu mukideeeeeeee lakini huenda inategemeana na demu mwenyewe yuko vipi huenda ye masaaa tu chap
  13. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

    Hilo ndo jibu mkuu
  14. H

    JamiiForums Tanzania Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

    Kuacha nyeto ni kazi kubwa sanaaa watu wengi wanajaribu kutoka lakini wanashindwa
  15. H

    JamiiForums Tanzania Kwa walio kosa vyuo (cheti & diploma)

    Mbona ukipiga simu chuo husika unaaambiwa dirisha limefugwa hadi mwakani Mimi nimeenda hadi Chuon kabsa wamenambia dirisha lishafugwa?
Back
Top Bottom