Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,585
- 12,439
Hicho ni kipindi kigumu mkuu,kuna mchepuko mmoja siku nyingi zimepita kidogo kutokana na uzuri aliokuwa nao nikajikuta nauza mechi...yeye kwa kuwa alikuwa haniamini akawa ananilazimisha nitumie raba;nikiangalia figa namba 8 chura ipo ya kutosha nikaona si mbaya nzi akifia kwenye kidonda,nimegonga hiyo kitu zaidi ya miezi 4;siku moja akasema sikuamini mimi naenda kupima liwalo na liwe.Mi nikamwambia poa...kila atua akifikia ananijulisha..nikasema kimoyomoyo kama majibu yatakuwa mabaya yatanitesa sana kwa sababu hata mimi nilikuwa simuamini.Baadaye ananipigia simu kabla hajaniambia chochote...ikabidi kuleta stori ili nimsome namna anavyoongea.Ndipo akanipa matokeo,yuko powa...nilifurahi sana;ikabidi nimpe zawadi ya kitambi.



Cc Kingsmann
Block itachukua mkondo wake