Anadai tukapime ngoma

Anadai tukapime ngoma

Hicho ni kipindi kigumu mkuu,kuna mchepuko mmoja siku nyingi zimepita kidogo kutokana na uzuri aliokuwa nao nikajikuta nauza mechi...yeye kwa kuwa alikuwa haniamini akawa ananilazimisha nitumie raba;nikiangalia figa namba 8 chura ipo ya kutosha nikaona si mbaya nzi akifia kwenye kidonda,nimegonga hiyo kitu zaidi ya miezi 4;siku moja akasema sikuamini mimi naenda kupima liwalo na liwe.Mi nikamwambia poa...kila atua akifikia ananijulisha..nikasema kimoyomoyo kama majibu yatakuwa mabaya yatanitesa sana kwa sababu hata mimi nilikuwa simuamini.Baadaye ananipigia simu kabla hajaniambia chochote...ikabidi kuleta stori ili nimsome namna anavyoongea.Ndipo akanipa matokeo,yuko powa...nilifurahi sana;ikabidi nimpe zawadi ya kitambi.



Cc Kingsmann
 
Acha michepuko mkuu Mwambie Huyo mke wa mtu atulie na mume wake
 
Usikute kuna ugomvi kwa mme wake nani kaleta ukimwi nyumbani!
 
😂😂😂time will tell unachokitafuta kwenye kupima utakijua over
 
Haka kachai mpishi kajichanganya akaweka chumvi badala ya sukari
 
Kupima kusikie tu kwa jirani aseee leo nimetoka kupima iyo presha nilokua nayo duuuh hatarii nashukuru mungu majibu yametoka fresh..,,nimeambiwa baada ya miezi mi3 nilud tena silud ng''oooooo
 
Yaniiii ni kesi juu ya kesiiii

Screenshot_20191010-085323.jpeg
 
Asijekuwa bwana wake ameathirika kwa hiyo analaumiwa yeye na wewe ndio mchepuko anataka kujua kama wewe ndio umemletea hiyo ngoma akampasia na mumewe ama la
 
Asijekuwa bwana wake ameathirika kwa hiyo analaumiwa yeye na wewe ndio mchepuko anataka kujua kama wewe ndio umemletea hiyo ngoma akampasia na mumewe ama la
Hamna mkuu anataka kuwa na mtoto mwingine ila hataki kuzaa na mme wake
 
Wewe ni mpumbavu kwa Nini utembee na mke wa mtu.ukizingatia ni dhambi na vilevile hunajuaje km mume wake anatumia doz au labda Dereva wa mafari ya kwenge congo.wanawake wapo kibao Tena wengine mbk wanapenda kwa waganga kutafuta wanaume wewe bd una angaika na mijike ya watu Acha ufara huo.
Hata mimi najikuta nawala wake za watu sijui kwa nini
 
Back
Top Bottom