Vijana Wenzangu Miaka 14 - 25 Punyeto hatari

Vijana Wenzangu Miaka 14 - 25 Punyeto hatari

Wanayoitetea ni waongo kabisa hawajui madhara na hayajawahi kuwatokea
UWONGO WA SGR HUU:

Nimebobea kwenye hiyo dhambi kwa miaka 8 nikipiga goli chache sana ni 4, lakini mara nyingi nilikuwa napiga goli 6 kwa kila siku.

Mikono ina misuli na ukakasi wa ugumu tofauti na ulaini wa uke ulioumbwa kwaajili ya kuingiliwa na uume.

Niliishiwa nguvu za kienyeji na nilinunua sana mitishamba kwa Wamasai hadi kunywa supu za pweza kuepuka aibu ya goli 1 tu mbele za warembo WANYAMWEZI, WAIRAKI, WAMERU, WACHAGA, WAMERU, WAWARANGI/WANYATURU, WASUKUMA.

Punyeto ina madhara kiroho, kimwili, kisaikolojia kwa 75% kwa Mwanaume.
 
hayo yaliyokukumba ni matatizo yako binafsi duniani kote hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi kuwa punyeto ina madhara-swala zima la linategemeana na hisia,mazingira ya kimwili,mazoezi na chakula.
 
Mungu pekee ndiye aliyeniwezesha baada ya kushindwa mara kadhaa nilipokuwa nikijitahidi kujizuia mwenyewe kwa kukaa hata miezi mitatu bila kupiga punyeto, lakini nilikuwa nikikumbuka tu basi nitarudia kupiga kama ilivyokuwa awali.

CD za X, pornography au hata video za kwenye mitandao zimefungamanishwa na nguvu za giza(majini/mapepo/mizimu/wachawi/wanga/washirikina/waganga wa kienyeji) au Mawakala wakuu wa shetani.

Tafuta CD iitwayo LUCIFER uiangalie afu uone jinsi itavyokusumbua katika ndoto za ajabu ajabu za kichawi matukio yafananiayo na hayo.

Haihusiani na sababu umeangalia CD za kishirikina HAPANA sababu nilishaangaliaga CD nyingi sana za kishirikina zikiwemo za MERLIN lakini sikuwa na tatizo lolote lile lakini kwa CD ya LUCIFER niliandamwa sana na majanga.

Niliamua kuomba mara kwa mara nikisali na kufunga nikiamini Mungu hakuna kinachoshindikana kwa Mungu.

Niliachana na mitandao kabisa kama FACEBOOK, INSTAGRAM, BADOO, TANGO, IMO, TWITTER na hata pornography au video za X tangu 2013 7bu zinahamasisha ngono kwa picha/habari.

Niliuza laptop mara 2 na smartphone 1 kuachana na punyeto lakini haikusaidia kitu nilipokutana na vijana wezangu nilitizama kwa simu/latop zao na kurudia pale pale.

Nilibakiwa na GOAL.COM(football news), WhatsApp na Google pekee kwenye simu yangu hadi 2018 July nilipoongeza JF napo hunikuti kwenye jukwaa za hovyo hovyo sababu Mungu kashanitoa utumwani.

Mkabidhi Mungu njia zako na mawazo yako yatathibitika na atakushindia daima kwa kila jambo.
Hongera mkuu uliwezaje na kupona kabisa katika hili
 
Mungu ni mwema nilishaacha miaka 6 hivi sasa na nimeshatoa ushuhuda hapo juu jinsi nilivyorudi katika ubora wangu Mkuu [emoji28]
Goli 6 mpaka 4 hazijapungua sanaa...Ila sasa hata moja unalitafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Mzee baba pole sana
 
hayo yaliyokukumba ni matatizo yako binafsi duniani kote hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi kuwa punyeto ina madhara-swala zima la linategemeana na hisia,mazingira ya kimwili,mazoezi na chakula.
BIG NO:

Hao wanaofanya utafiti na kuwaletea uthibitisho si ndiyo hawa wanaodai kuwa "WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA NDIYO WANAOZAA WATOTO WENYE AKILI SANA"

Kwa akili zako za kuzaliwa tu unakubaliana na huo utafiti nakati tupo ambao tumezaliwa na akina Mama wasio na makalio makubwa lakini tumesumbua na tunasumbua hadi sasa kwa akili za darasani hata za maarifa ya kimaisha?
 
Utakuja kuyaona baadae sio lazima uyaone kwa sasa
Jidanganye mkuu endelea kudanganywa na tena ugonjwa unajisababishia mwenyewe kwa ushauri tu kama unataka kuacha basu tafuta kitu kinachorelate na hicho either uwe na demu wako pembeni wakati ukijiskia kupiga nyeto ila kiukweli mkuu mimi imenisaidia sana yaani unajiamulia umwage sa ngapi na tena dudu la yuyu linakaza mpaka misuli inauma
 
Iiiii kitu imenishinda kuacha kabisa aseee nmejaribu njia nyingi sana lakini wap,demu ninae lakini punyeto cjaaacha
 
UWONGO WA SGR HUU:

Nimebobea kwenye hiyo dhambi kwa miaka 8 nikipiga goli chache sana ni 4, lakini mara nyingi nilikuwa napiga goli 6 kwa kila siku.

Mikono ina misuli na ukakasi wa ugumu tofauti na ulaini wa uke ulioumbwa kwaajili ya kuingiliwa na uume.

Niliishiwa nguvu za kienyeji na nilinunua sana mitishamba kwa Wamasai hadi kunywa supu za pweza kuepuka aibu ya goli 1 tu mbele za warembo WANYAMWEZI, WAIRAKI, WAMERU, WACHAGA, WAMERU, WAWARANGI/WANYATURU, WASUKUMA.

Punyeto ina madhara kiroho, kimwili, kisaikolojia kwa 75% kwa Mwanaume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua unafosi nikubali kitu ambacho si kweli yaani eti nikubali ina madhara na wakati sijawahi yaona hayo madhara mkuu tupo tofauti kwa mfano mimi imenifanya niwe namudu sex kwa muda mrefu yaani mpaka niamue namwaga sasa ndo nitamwaga ila nisipoamua itanichukua muda sana mpaka kufikia kutumia mafuta ku replace maji yaliyokauka.
 
Goli 6 mpaka 4 hazijapungua sanaa...Ila sasa hata moja unalitafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Mzee baba pole sana

Huyu jamaa anadhani kila mtu madhara aliyoyapitia yeye na wengine wameyapitia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa anadhani kila mtu madhara aliyoyapitia yeye na wengine wameyapitia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baba nashangaa wengine chamani mwaka wa 18 huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Laba upigaji tofauti mzeee...
 
Mungu pekee ndiye aliyeniwezesha baada ya kushindwa mara kadhaa nilipokuwa nikijitahidi kujizuia mwenyewe kwa kukaa hata miezi mitatu bila kupiga punyeto, lakini nilikuwa nikikumbuka tu basi nitarudia kupiga kama ilivyokuwa awali.

CD za X, pornography au hata video za kwenye mitandao zimefungamanishwa na nguvu za giza(majini/mapepo/mizimu/wachawi/wanga/washirikina/waganga wa kienyeji) au Mawakala wakuu wa shetani.

Tafuta CD iitwayo LUCIFER uiangalie afu uone jinsi itavyokusumbua katika ndoto za ajabu ajabu za kichawi matukio yafananiayo na hayo.

Haihusiani na sababu umeangalia CD za kishirikina HAPANA sababu nilishaangaliaga CD nyingi sana za kishirikina zikiwemo za MERLIN lakini sikuwa na tatizo lolote lile lakini kwa CD ya LUCIFER niliandamwa sana na majanga.

Niliamua kuomba mara kwa mara nikisali na kufunga nikiamini Mungu hakuna kinachoshindikana kwa Mungu.

Niliachana na mitandao kabisa kama FACEBOOK, INSTAGRAM, BADOO, TANGO, IMO, TWITTER na hata pornography au video za X tangu 2013 7bu zinahamasisha ngono kwa picha/habari.

Niliuza laptop mara 2 na smartphone 1 kuachana na punyeto lakini haikusaidia kitu nilipokutana na vijana wezangu nilitizama kwa simu/latop zao na kurudia pale pale.

Nilibakiwa na GOAL.COM(football news), WhatsApp na Google pekee kwenye simu yangu hadi 2018 July nilipoongeza JF napo hunikuti kwenye jukwaa za hovyo hovyo sababu Mungu kashanitoa utumwani.

Mkabidhi Mungu njia zako na mawazo yako yatathibitika na atakushindia daima kwa kila jambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa umechanganyikiwa
 
Madogo acheni Puchu,utalala na mkeo kama dadako.

Pia hii inaathiri hadi kiuchumi.Utakuwa unaishi kwenye "comfort zone".Ukipata kihela kidogo una uhakika wa kula basi we ni ndani kupiga nyeto na kulala basi.

Marafiki hutapenda kuwa nao utaona ngoja nikajifungie nipige nyet nilale.

Ila dah huyu shigongo aliharibu sana vijana na magazeti yake ya udaku na vile vijarida vya ngono way back kabla ya vijana kuwa na access na internet.
 
Back
Top Bottom