Recent content by hebrews

  1. hebrews

    Unataka kuwa tajiri?(Desa hili hapa)

    Hata mleta mada pamoja na kujitutumua kutulea lkn bado masikini!
  2. hebrews

    Simba SC Kwanza.. Mengine Baadae.

    Tatizo ni Mo mwisho wa mwezi umekaribia nani atalipa mishahara wachezaji?
  3. hebrews

    Simba SC Kwanza.. Mengine Baadae.

    Wenzio wanamtafuta mo huko wewe unaleta porojo ngoja akosekane uone kama hamjawa wa kumi na nane
  4. hebrews

    Simba SC Kwanza.. Mengine Baadae.

    Simba inajua kucheza mpira wa mdomoni
  5. hebrews

    Simba SC Kwanza.. Mengine Baadae.

    Hao ndugu akili zao zote kazibeba Manara wamebaki vichwa vitupu..ndiyo maana mambumbumbu fc
  6. hebrews

    Wanafunzi wa UDOM washindwa kujibu neno ASAS lina tarakimu ngapi, aisee hatari

    Kati ya wao na wewe mm naona wewe ni mjinga zaid maana umerudia kosa lao
  7. hebrews

    After MO Dewji who'll be next?

    As long as we are still in the same country anyone can be next
  8. hebrews

    Baada ya MO kutekwa, morali ya wachezaji Taifa Stars yashuka , kuchezea kichapo dhidi ya Cape Verde

    Ungesema timu ya simba haina morali ningekuelewa lkn kwa Taifa stars umejidanganya! Najua ww ni mpinzani wa kila kitu hata maandiko yako unaweza kuyapinga maana una akili mbaya za kichadema na Diktera wenu wa kudumu Mbowe
  9. hebrews

    Wanasimba tuungane kumtafuta Mo

    Kweli jitahidini kumtafuta maana bila yeye mtakuwa wa kumi na nane wala si muda mwingi
  10. hebrews

    Tukio la kutekwa kwa Mo Dewji: Maelezo ya shuhuda (dereva wa Uber) na kamanda Mambosasa mbona kama yanatofautiana?

    Jamani wengine tupo mbali tupeni uhakika ni kweli mo amepatikana?
  11. hebrews

    Utitiri wa Madhehebu ya dini uchunguzwe

    Kama unaona unaibiwa unaenda kufanya nini? Mbona ukienda bar ubaiwa pia na hulalamiki? Je na kwa wale madada poa mbona husemi wawe na degree? Acheni magugu na ngano vikue pamoja
  12. hebrews

    Nimenunua simu mtandaoni ikatumwa kwa posta leo nimeipata

    Anawapanga awapige, minyumbu nayenyewe inafuata mkumbo tu
  13. hebrews

    Nimenunua simu mtandaoni ikatumwa kwa posta leo nimeipata

    Msije rudi na vilio humu, nyie jilengesheni tu kwa mitapeli sugu
  14. hebrews

    Naomba kusaidiwa kujua bei za mabalo ya nguo nzuri za wadada,sidiria au viatu vya watoto

    Fika mwenyewe mnazi mmoja utapata taarifa kamili..angalizo epuka matapeli
Back
Top Bottom