Hahahaha, jama jama, tusitafute Mugabe ni nani katika mahakama, ukweli ni kwamba, yeye kama Baba wa nyumba, kama Raisi wa Zim amefanya hivyo ili kuweka nidhamu nyumbani kwake, so for me he is right, hata hivyo taratibu za nyumbani kwa mwezio zinaweza zisikupendeze wewe. Kuna mtu kwake milango...