Nafasi yake ina mtu tayari wapo majenerali 6 ambayo mmoja wapo anauwezo wa kuwa mkuu wa majeshi vizuri sana na hao wote kikwete ndio aliwandaaa wakati anaondoka hta mabeyo kikwete ndio alimuandaaa ila akamuegesha mahali Magu alipokuja akamteuwa kuwa mkuu wa majeshi akijua yeye ndio kamuweka...
Hiyo ni kweli kabisa kuna urasimu mkubwa sana kwenye kuunganishiwa umeme ukienda kwa halali kabisa utakaa miezi 10 ila ukitoa rushwa hata siku 7 haziishe
Hakuna cha kuwa mbali hebu tafuteni katiba ya UAE au brunei kama mfalme wao ana mafarka kiasi gani mbona nchi inasonga
ilikuwaje chademaa ilikuwa chama kikuu cha upinzani kwa miaka takribani 10 mbona hakina makao makuu ya kueleweka au ndio walikuwa wanakijenga chama kwenye mioyo ya watu acheni...
Yaani katiba nzima mnawaza madaraka ya Rais kama vile ndio yanakwamisha maendeleo ya nchi hii kuna nchi nyingi tu madaraka ya Rais ni makubwa na bado nchi inasonga mbele na pia Rais anaheshimu anaheshimu katiba na vyombo vyake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.