Kama kweli tunahitaji kufanyia marekebisho Katiba Mpya, tuanze na tume Huru ya Uchaguzi na kupunguza madaraka ya Rais

Ninasoma na ninaangalia ila sijaona kama kuna vita South Africa au Kenya
South Africa wana street violence na xenophobic conflicts kuanzia mwaka 2014.

Maisha ya indigenous people ni ya ufukara wa hali ya juu despite utajiri wote ule.

Kenya mwaka 2008 waliuana baada ya uchaguzi kwenye maeneo ya Kericho, Rift Valley na Central province
 
South Africa wana street violence na xenophobic conflicts kuanzia mwaka 2014. Maisha ya indigenous people ni ya ufukara wa hali ya juu despite utajiri wote ule.

Kenya mwaka 2008 waliuana baada ya uchaguzi kwenye maeneo ya Kericho, Rift Valley na Central province
Sioni kitu humu
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Ndio maana tunasema kuanza kwa Tume huru tayari umegusa katiba Mpya.

Au tuanzw tume huru badae wakati wa katiba mpya turudie tena tume huru??

Hivi vitu vinaendana.

Tunaanza katiba mpya huku tuki commence ba vile vitu ambavyo ni urgent.
 
South Africa wana street violence na xenophobic conflicts kuanzia mwaka 2014. Maisha ya indigenous people ni ya ufukara wa hali ya juu despite utajiri wote ule.

Kenya mwaka 2008 waliuana baada ya uchaguzi kwenye maeneo ya Kericho, Rift Valley na Central province
Haya yalishapita imebaki historia. Waliamua kucha ujinga
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Sababu za kukataa kuandika katiba mpya ni zipi?

Hivi kipi bora,kuendelea kutia viraka kila vazi likitoboka kwa gharama au kujinyima na kununua jipya ili itusitiri kwa muda mrefu zaidi?


CCM imekuwa kongwe na haipo tayari kuandika Katiba bora ya kisasa kwa kuhofia vazi la ujana wake(Katiba ya 1977) kutupwa ili wavalishwe jipya!

Nguo imechakaa,hata kama ilikuwa nzurije,viraka vimeifanya hata ile rangi yake asili haifahamiki tena lakini mnaing'ang'ania tu!

Vazi lenye viraka vyote hivyo pia linakuwa na chawa,viroboto pamoja na kunguni,kupe au mijusi ndani mwake.Kulikoni kubadili na kujivika mpya msubiri baada ya 2025?

Kwani ni nguo ya sikukuu useme hadi Siku hiyo ifike ndipo uvae?


Mwenye shamba alipowapa fedha za kununulia nguo mpya 2014 mkaenda kulewea halafu bila aibu mnataka kutia tena viraka vipya?

Nani kawaambia kuwa mwenye shamba hataki mvae mpendeze?

Je,kawaambia hana fedha za kuwanunulia vazi jipya?

Mmewazoea chawa na viroboto kiasi hicho?
Kweli!
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Watanzania walishatoa maoni yao kuhusu wanachokitaka kwenye katiba.

Rasimu ikaandikwa na watu wakala posho Bungeni including Maza.

Sasa inakuwaje leo tuanze kurekebisha vipengere vichache anavyovitaka Maza kwa kumtumia Mkandara...!!?
 
Tunahitaji katiba mpya sawa, je tunakumbuka mambo yaliyokwamisha kupatikana katiba mpya enzi za kikwete?

Wahusika wa kuunda hiyo katiba watatokana na nani?

Je wanasiasa watahusika?

Kama katiba itakayoundwa haitakidhi matakwa ya wanayoidai wataikubari?
 
Mbona huku kulikuwa na mauaji ya kiholela Kibiti, watu wasiojulikana si walikuwepo hadi juzi tu.

Tanzania ni mafukara kuliko South Africa, South Africa ni nchi ya uchumi wa kati wa juu na iko jumuiya ya nchi zenye chumi kubwa zinazoibukia ya BRICS(Brazil, Russia, India, China na South Africa).

Kupigana hata US walipigana sana wenyewe kwa wenyewe na Katiba yao ya sasa wakati wanasimika demokrasia yao ambayo ni bora zaidi duniani
South Africa wana street violence na xenophobic conflicts kuanzia mwaka 2014. Maisha ya indigenous people ni ya ufukara wa hali ya juu despite utajiri wote ule.

Kenya mwaka 2008 waliuana baada ya uchaguzi kwenye maeneo ya Kericho, Rift Valley na Central province
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Yaani katiba nzima mnawaza madaraka ya Rais kama vile ndio yanakwamisha maendeleo ya nchi hii kuna nchi nyingi tu madaraka ya Rais ni makubwa na bado nchi inasonga mbele na pia Rais anaheshimu anaheshimu katiba na vyombo vyake
 
umesema vema na tena ukweli wa mungu. Hakika kama uyasemayo yakifanyika kama upendendekezavyo basi Tanzania itakuwa mbali saaana kimaendeleo kupita dernmark na Uafransa.neno mchakato wa katiba lisitumike ila tukopi tuu katiba ya Israel, India,Brazil na Ukraine ili kuokoa fedha nyingi za kutafuta maoni. kitendo cha kutafuta maoni kwa wananchi utakuta wengi wao hawajui kuwa katiba ndo ijengao Taifa imara ukijumulisha na utashi wa raisi.India ina katiba nzuri sana kupita nchi zote za Asia , Hivyo nani alibuni katiba yao nzuri? utakuta watu wachache tuu walioona mbele kimaslahi ya Taifa lao. hata USA wao George washing ton na wapambe wake wachache alitunga katiba imara ilowapa usafu mwamba wa dunia mpaka leo.
Hakuna cha kuwa mbali hebu tafuteni katiba ya UAE au brunei kama mfalme wao ana mafarka kiasi gani mbona nchi inasonga

ilikuwaje chademaa ilikuwa chama kikuu cha upinzani kwa miaka takribani 10 mbona hakina makao makuu ya kueleweka au ndio walikuwa wanakijenga chama kwenye mioyo ya watu acheni tiralila
 
Mbona huku kulikuwa na mauaji ya kiholela Kibiti, watu wasiojulikana si walikuwepo hadi juzi tu.

Tanzania ni mafukara kuliko South Africa, South Africa ni nchi ya uchumi wa kati wa juu na iko jumuiya ya nchi zenye chumi kubwa zinazoibukia ya BRICS(Brazil, Russia, India, China na South Africa).

Kupigana hata US walipigana sana wenyewe kwa wenyewe na Katiba yao ya sasa wakati wanasimika demokrasia yao ambayo ni bora zaidi duniani
Kwa hiyo tupate Katiba kwa kupigana kwa vile Wamarekani walipigana wakapata katiba yao?? This is INSANE
 
Ikitokea Rais wa nchi amefariki,kipengele hiki kiondolewe makamu wake kuchukua nafasi apewe miezi 3 au 6 then uchaguzi ufanyike tena.
 
South Africa wana street violence na xenophobic conflicts kuanzia mwaka 2014.

Maisha ya indigenous people ni ya ufukara wa hali ya juu despite utajiri wote ule.

Kenya mwaka 2008 waliuana baada ya uchaguzi kwenye maeneo ya Kericho, Rift Valley na Central province

Mwaka 2008 Kenya walikuwa na tume huru ya uchaguzi?

Hizo street violance za huko Afrika Kusini zinahusiana vipi na uwepo wa tume huru?!
 
Usiturudishe nyuma tunataka KATIBAAA MPYAAAA
Mchakato! Itapatikanaje? Kupitia Referendum au wabunge waliopo sasa hivi? Na utayari wa serikali tuliyonayo uko vipi?
Referendum ni uchaguzi, yaani mnapiga kura kati ya pande mbili"Ndio au Hapana". Waangalizi/Viongozi/wahesabu wa kura hizo watapatikanaje? ukipenda unaweza kuiita TUME HURU (iwe ya mpito au ya kudumu) lakini ndio itayotoa majibu/hatma ya kuendelea au kuacha mchakato wa KATIBA MPYA.

Kama ni wabunge wa VIMEMO waliopo sasa hivi ok, mnajua fika ni wabunge wa aina gana hawa.

Hapo ndio kigugumizi changu mimi kilipo. Sina hakika na ueleo wa muamko wa watanzania (ukiacha Zanzibar) kuhusu umuhimu wa katiba mpya (kama ukitaka kutumia nguvu ya umma). Nikipita huko vijijini (Ukiacha Zanzibar) vyama vya upinzani sivioni kabisa, yaani huko hao tunaowaita wabunge wa VIMEMO hawakuwepo kwa maana CCM hawakuwa na wapinzani. Kwa mtaji huu tunatarajia CCM wawaeleze wapiga kura wao hao juu ya katiba mpya. Sidhani!

Fact- Nawakumbusha tu. Tulipofanya kura kama tuwe na vyama vingi au hapana - ni 20% tu ndio walitaka vyama vingi na 80% walikataa - Ni busara Nyere tu ndio zilizotumika kupata vyama vingi.

Sasa kwa mfano katika referendum watanzania wakasema hawataki katiba mpya, sipati picha nchi itakuwaje? Hizo zote ndizo changamoto zilizopo mbele ya Tanzania yetu pendwa.
Namalizia kwa kusema binafsi ni muhitaji sana wa katiba mpya ila njia naiona ina makorongo mengi na vizingiti vya ajabu. Pengine hii itawasaidia na kuwa fundisho kwa wale wanaosema Katiba mpya inaweza kupatikana kwa miezi miwili. Alamsik!
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri.

Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote.

Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Tunataka katiba Mpya. Mambo mengine ni janja ya nyani tu.
 
Back
Top Bottom