Ushauri wa kisaikolojia

Hahahaa! Mkuu umejuaje kama kwasasa humalizi mwezi unalia? Binafsi nilikutana na binti mmoja analia kwenye ule mgahawa ambao zamani ulikuwa avalon cinema (food world) nikajidai kumfata na kumuhoji kulikoni mbona analia akaniambia katendwa nikaanza kumshauri, tukabadilishana namba tena landline, nilijuta baadae bint akaniganda eti mimi ni mtu sahihi kwake wakati najijua mimi ni zaidi ya wahuni kimoyomoyo nikasema mbona hakomi huyu
Geti la mbinguni hupiti😂😂😂😂 kwahiyo ukampa faraja?
 
jamaa mnafanya nae kaz sehm moja? kama hapana nxt tme jtahid kufcha mahusiano yako au mambo unayoptia kwenye mahusiano yenu kama furaha au ugomv kuwashirkisha wenzako mana hapo ndipo walpo chukulia point kazn n sehem ya Do your work get your salary Then go hom spend your money and Time.. pole sana
Kuna point kubwa Sana hapa

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Hapo tatzo lpo kwa huyo mwenzio unaefanya nae kaz dear.

Cha msingi kubali kuwa ni hali kweli imekukumba ww na nafsi yako.

Futa namba ya hilo dume na anza upya.
Inaonekana yule kaweka maovu ya bidada hadharani jamaa akaamua kumwaga , anyanga na Ili kumuumiza akaamua kumpiga na kitu kizito

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Hello wana jf mi ni mwanadada mfanyakazi serikalini sijawahi kuwa na mtoto! Naombeni ushauri wenu nilikuwa na mahusiano na mkaka akanitolea mahali na tulipanga tarehe ya harusi mwaka jana tumegombana ameanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzangu plz naomba yeyote mwenye kuelewa mtu wa saikolojia ushauri anielekeze nimtafute ili niweze kurecover na kusahau kabisa. Asanteni
Chanzo cha mgogoro pleas naweza kukusaidia
 
Hello wana jf mi ni mwanadada mfanyakazi serikalini sijawahi kuwa na mtoto! Naombeni ushauri wenu nilikuwa na mahusiano na mkaka akanitolea mahali na tulipanga tarehe ya harusi mwaka jana tumegombana ameanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzangu plz naomba yeyote mwenye kuelewa mtu wa saikolojia ushauri anielekeze nimtafute ili niweze kurecover na kusahau kabisa. Asanteni
Pole sana.Kama unampenda ungejaribu kumuomba msamaha tu.
 
Mi nadhani huyo jamaa atakuwa na shida na siyo ndogo na vipi mlivyokorofishana ulijaribu kuongea nae na kuomba msamaha?? Maana si hali ya kawaida mtu akalipa hadi mahari alafu aingie mitini tena mbaya zaidi anaanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzako,,
Huyo dada kafitinishwa na wafanyakazi wenzie wa kike aliowaamini na kuwapa siri zake zote juu ya huyu mwanaume. Wadada wengi yamewakuta ya namna hii.
 
Hahahaa! Mkuu umejuaje kama kwasasa humalizi mwezi unalia? Binafsi nilikutana na binti mmoja analia kwenye ule mgahawa ambao zamani ulikuwa avalon cinema (food world) nikajidai kumfata na kumuhoji kulikoni mbona analia akaniambia katendwa nikaanza kumshauri, tukabadilishana namba tena landline, nilijuta baadae bint akaniganda eti mimi ni mtu sahihi kwake wakati najijua mimi ni zaidi ya wahuni kimoyomoyo nikasema mbona hakomi huyu
nimecheka sana
 
Dada ninaloweza kukushauri la kwanza ujue nini kiini cha mtafaruku? Ninasema hivyo kwasababu bila kujua hata ukipona utaingia mahusiano mengine na jambo kama hili linaweza kujitokeza. Na likitokea tena laweza kukufanya ujione mwenye mkosi maisha yako yote.

Kama.mwingine alivyosema wakati.mwingine haya mambo hutokea ili kukuweka mahala pazuri zaidi. Itakuwa ni vizuri uingie pazuri ukiwa na lessons za mahusiano yaliyoharibika ili mambo yasije jirudia.

Ambalo sielew ni kamai bado unampenda? Na unaweza kurudiana naye pamoja na kuanzisha mahusiano na mfanyakazi.mwenzio? Au ni ile kwamba utaonekanaje kwenye jamii na hali mahari ilishatolewa?

Siwezi kuhukumu ni nani mwenye makosa maana maelezo yako hayajitoshelezi. Ila kwa haraka ninavyoona huenda ulijisahau na kuwahusisha rafiki zako wa kike mambo yako ya mahusiano, na wakatumia madhaifu yako na hiyo ndo inaweza kuwa imepelekea kupinduliwa.

Uzoefu wangu ni kuwa mpaka mnafikia kuachana huwa kuna series ya malalamiko toka zamani kwa kila mmoja ila yakazoeleka na hayakufanyiwa kazi. Ukiona watu wanaachana mara nyingi sababu siyo lile tatizo la mwisho, mara nyingi hilo litakuwa ni mwendelezo wa migogoro midogo midogo ambayo mmekuwa nayo bila kuifanyia kazi. Kwahiyo hiyo sababu ya mwisho huwa inahitimisha mahusiano lakini sababu kuu zilishakuwepo tangu mwanzo.

kwahiyo dada jaribu kufanya reflection ya mahusiano yenu na uone ni wapi hamjuwa sawa ili.kutafuta kiini. Na hatua ya kwanza kuondokana na hili ni kukubali kuwa hilo limetokea na kwamba maisha.yanatakiwa yaendelee. Jipe imani kuwa huyo hukumfahamu kabla na hivyo bado una fursa nyingine kwa.mtu ambayr hata sasa humfahamu. Lingine zingatia kuwa haya.mambo yapo na wewe si wa kwanza. Kwahiyo unawesza kuendelea na maisha.

Lingine nikusihi usijaribu kuingia kwenye mahusiano ya haraka kama njia ya kujibu mapigo maana hilo litakugharimu. Huenda naye alimchukua.mfanyakazi.mwenzio kama kukukomoa na kweli kama hiyo ndo ilikuwa ni sababu bado naye hatafika mbali na huyo mtu. Maana siku akipoa atamuona hamfai.

Kwa ushauri zaidi unaweza kuja DM maana masuala ya mahusiano yana mengi na uzoefu wangu ni kuwa wasuruhishaji wa mahusiano wanapata shida sana.bila kujua kiini cha tatizo. Sababu ni kwamba wanaopatanishwa au kushauriwa huongelea kilichotokea na.kusahau mambo yalipooanzia.
 
Back
Top Bottom