Mwanaume siku zote haongozwi na feelings kama wanawake so huwezi kutendea kazi kitu ambacho hujadevelop
Sidhani kama kutojiamini ni sababu maybe useme mwanaume (not in general)sikuzote ni muongo but mwanamke ni mkweli sema mnafiki.
Hivyo wakinamama wana chance kubwa kudevelop iko kitu, basi tu...
😂 😂 mimi sikumuuliza nilitoa tu silent treatment huku naendelea kupekua for months.
Jamanii nilikonda kwa stress huku mwenzangu anakoroma tu vizuri dah! but on the bright side stress zilinipunguza nikawa portable, demand ikapanda😂 MBONA ALIKOMA
Binafsi pressure haiwezi kupanda lakini nakumbuka nishawahi soma text za beibe nikiwa kitandani..tumbo likaunguruma wee ikabidi niende kusomea chooni.
Ujumbe ulikuwa mzito mpaka nikasindikizwa na kuharisha.
Msanii yeyote mkubwa, hatakiwi kuwa na mahusiano serious( ya wazi) kwa sababu ya fanbase ambayo inaweza kusababisha brand kushuka au kupanda. Hiki ndicho kinachoonekana kwa Marioo.
Angewaiga kina Diamond, Michael Jackson angefika mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.