Recent content by Hassann msimbe

  1. H

    CCM ndiyo imetufikisha hapa sio upinzani

    Wasalam, ndugu zangu kwenye ukweli lazima tuseme ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa mungu. Tuache unafiki kuhusu vita dhidi ya dawa za kulevya lawama zote nazielekeza kwa CCM kwani ndo wametuongoza kwa miongo yote tangu tupate uhuru;na pia ccm ndo wametengeneza na kukumbatia uozo na uchafu wa...
  2. H

    Kadhia ya Makonda: Dhana ya bunge halina ‘’meno’’ inakufa kifo cha mende.

    HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA SUBIRI HAUTAAMINI KITACHOMPATA BWANA MDOGO MAKONDEKO,SHERIA NI MSUMEMO.
  3. H

    Kwanini Makonda asifunguliwe kesi ya msingi Mahakamani?

    ACHA UCCM VITU UNAVYOOANISHA HAVIFANANI,JIONGEZE MKUU.
  4. H

    Mzee wa Upako ajitaja katika sakata la madawa ya kulevya

    MZEE ANABUSARA NYINGI MNO PAMOJA NA HEKIMA.
  5. H

    Dharau Kwa Bunge Na Wabunge: RC Makonda Siyo Wa Kwanza

    Ni kweli bunge ndo linapanga bajeti hewa ktk awamu hii ya tano;yaani limekuwa kibogoyo kwa ufupi serikali imevunja na kuingilia mihimilu yote.
  6. H

    Kisheria, Paul Makonda asipofika Kamati ya Maadili nini kitatokea?

    MKUU NI KWAMBA BUNGE LITAMKA RAIS KUTENGUA UTEUZI WAKE,KUMBUKA KWA MUJIBU WA KATIBA YETU MBOVU YA MWAKA 1977 MBUNGE NI MUHIMILI UNAOJITEGEMEA KATI YA MIHIMILI3 YA SERIKALI,MINGINE NI MAHAKAMA NA SERIKALI YENYENYEWE.SASA KWA MUJIBU WA KATIBA MBUNGE LINA MAMLAKA YA KUISIMAMIA SERIKALI NA...
  7. H

    Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

    Wasalam, nimefatilia waliokamatwa na mh. Makonda mpaka leo cjaona majina ya wauza unga bali mateja. Naomba nieleweke sina nia ya kutetea hawa mateja;napenda hii vita iwahusu wauzaji na sio wavuta bangi. Inasikitisha kuona mtandao wa wauza unga hauguswi na badala yake tunaona kina TID na wenzake...
  8. H

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    INASHANGAZA WAMEKAMATA MATEJA WAUZAJI WAKO WAPI?
  9. H

    Makonda: Watuhumiwa madawa ya kulevya kuanza kupandishwa kizimbani leo au kesho

    Wasalam,nimeona taarifa ya habari na nalipongeza jeshi la police imebaki mahakama kutenda haki. Naomba anaejua tofauti kati ya unga na bangi; maana nilipenda zaidi kuona wauza unga wakipandishwa kizimbani maana hawa ndo hatari zaidi,kisha watumiaji.
  10. H

    MZEE KIKWETE POPOTE ULIOPO LIOKOE TAIFA.

    Tumwombe mzee wetu atuweke hayo majina kwa nia njema, maana mh makonda atawakamata fasts;hasa km ni wakazi wa dar.
Back
Top Bottom