Wasalam, ndugu zangu kwenye ukweli lazima tuseme ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa mungu. Tuache unafiki kuhusu vita dhidi ya dawa za kulevya lawama zote nazielekeza kwa CCM kwani ndo wametuongoza kwa miongo yote tangu tupate uhuru;na pia ccm ndo wametengeneza na kukumbatia uozo na uchafu wa...
MKUU NI KWAMBA BUNGE LITAMKA RAIS KUTENGUA UTEUZI WAKE,KUMBUKA KWA MUJIBU WA KATIBA YETU MBOVU YA MWAKA 1977 MBUNGE NI MUHIMILI UNAOJITEGEMEA KATI YA MIHIMILI3 YA SERIKALI,MINGINE NI MAHAKAMA NA SERIKALI YENYENYEWE.SASA KWA MUJIBU WA KATIBA MBUNGE LINA MAMLAKA YA KUISIMAMIA SERIKALI NA...
Wasalam, nimefatilia waliokamatwa na mh. Makonda mpaka leo cjaona majina ya wauza unga bali mateja. Naomba nieleweke sina nia ya kutetea hawa mateja;napenda hii vita iwahusu wauzaji na sio wavuta bangi. Inasikitisha kuona mtandao wa wauza unga hauguswi na badala yake tunaona kina TID na wenzake...
Wasalam,nimeona taarifa ya habari na nalipongeza jeshi la police imebaki mahakama kutenda haki. Naomba anaejua tofauti kati ya unga na bangi; maana nilipenda zaidi kuona wauza unga wakipandishwa kizimbani maana hawa ndo hatari zaidi,kisha watumiaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.