Zamazangu
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 792
- 410
Inaonekana watu walio wengi hawajui tulipaswa kuwa wapi? Toa picha na mifano mtoa mada ili watu wajitambue na wasirudie makosa 2020Mbona ni simple tu, yaani imetudumaza! Kwa umli tulionao kimaendeleo tumedumaa, miaka 55 ya Uhuru, bado tunahangaika na MAJI, barabara na UMEME. Wenzetu wenye umri huu, wako mbali kimaendeleo. Hivi kinatushinda hata kiwanda cha toothpicks! Hapa ndio ilipotufikisha! Upo?