Kadhia ya Makonda: Dhana ya bunge halina ‘’meno’’ inakufa kifo cha mende.

Katibu wa bunge kawaumbua wabunge wote, mawaziri na mwengekiti chenge..Inaonekana maamuzi yalikuwa na mhemko na ushabiki dhidi ya makonda..wameumbuka kweli
Huu ni mchezo wa kisiasa unaochezwa kwa umakini mkubwa.

Kuna watu watashingilia kuwa Katibu wa bunge hawezi kupambana na azimio la bunge. Baadaye Katibu atasema ''nimenyosha mikono juu''.
 
Lafudhi ni Kiswahili kilichosanifiwa, lafdhi ndiyo Kiswahili asli (asili).

"Kaake waona lile piji? Kaake lile si piji ule ni mforojo lawa maji".

Tafuta Mpemba akutafsirie, hicho ni Kiswahili kwa lafdhi na madaha ya Kipemba.
Hivyo basi...
*Inayoshughurika- ni kiswahili kutoka asili ya wakurya ambacho hakijasanifiwa
*Inayoshughulika- kiswahili sanifu
# watanzania asilimia 99.999% wanaongea kiswahili fasaha
* rejea maana ya kiswahili fasaha na kiswahili sanifu
 
Wapinzani bila kujua wanachofanya ni kuua dhana ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ pale ambapo masuala ya msingi kwa taifa yatakapojiri bungeni siku sijazo.

Tena nahisi masuala hayo yatahusu katiba ya sasa kwani kuna nguvu ya mtaalamu wa sheria ngazi ya Prof. ameingizwa Bungeni. Si bure itakuwa kuna kazi maalum, wakati maalum utakapofika hivi karibuni.
 
Hivyo basi...
*Inayoshughurika- ni kiswahili kutoka asili ya wakurya ambacho hakijasanifiwa
*Inayoshughulika- kiswahili sanifu
# watanzania asilimia 99.999% wanaongea kiswahili fasaha
* rejea maana ya kiswahili fasaha na kiswahili sanifu


Tunaongelea "Lafudhi" na Lafdhi, wewe umeleta porojo zingine.

Upo darasa la ngapi?
 
Kuna methali inayosema, Mwanga mpe mtoo alee. Methali nyingine inasema, Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.

Mpaka sasa inavyoonekana wapinzani hawajalielewa somo la siasa za CCM ndani ya bunge na nje ya bunge.

Kwa muda mrefu, wapinzani waliisumbua sana CCM kwa kutumia dhana ya ufisadi. Kila mara CCM walikuwa wakishambuliwa kuwa ni mafisadi.

Kwa kutumia dhana ya mwanga mpe mtoto alee, CCM walitengeneza mazingira yaliyowafanya wapinzani kumchukua na kumlea mtoto wa CCM ambaye alikuwa ni nembo ya dhana ya ufisadi nchini.

Siku ambayo Lowassa alihamia CHADEMA ilikuwa ni siku ambayo hoja ya ufisadi kutoka upinzani ilikufa kifo cha mende mpaka hata neno ufisadi likaondolewa kwenye makabrasha ya upinzani.

Baadaye iliibuka hoja ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ kutoka kwa wapinzani wakafikia mpaka hatua ya kuweka karatasi kuziba midomo yao.

CCM wamehangaika na hoja hii lakini kwa kutumia dhana ya ‘’ndege mjanja hunaswa na tundu bovu’’ wameanza kuiua kwa umakini mkubwa.

Tumeona na kusoma kwenye vyombo vya habari jinsi ambavyo baadhi ya wapinzani wakishangilia kuitwa kwa Makonda anayedaiwa ni ‘’kiongozi aliyekaribu’’ na Rais Magufuli kwenye kamati ya kudumu ya Bunge inayoshughulika na Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili ‘’akasulubiwe’’ baada ya wabunge kutoa azimio la pamoja.

Kwa maana nyingine kimantiki wanatuambia Bunge lina meno kwa sababu limeweza kumuita kiongozi ambaye wapinzani wanadai ni ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ili wamsulubu. Kwa maana nyingine, kuisulubu ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ni kumsulubu Rais Magufuli.

Wapinzani bila kujua wanachofanya ni kuua dhana ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ pale ambapo masuala ya msingi kwa taifa yatakapojiri bungeni siku sijazo.

CCM wanafahamu vizuri kuwa mashitaka ya Makonda hayana athari zozote kwake na kwa CCM badala yake yanaifanya CCM na serikali yake kuimarika zaidi katika macho ya Watanzania.

Kuna ‘’wajinga’’ wasiojua taratibu na kanuni za bunge wanashangilia wakidhani Makonda atasimama ndani ya ukumbi wa bunge na kuanza kuhojiwa na wabunge. Hawafahamu kuwa mahojiano yatafanyika ndani ya ofisi za kamati yenye wajumbe 15 ambao kati yao kuna wabunge wa CCM 9.

Kikubwa zaidi, mashitaka ya Makonda hayawezi hata kutengeneza hoja ya kikanuni kumshauri Rais Magufuli amfute kazi badala yake, Kamati ya kudumu itatoa onyo/ushauri na biashara itaishia hapo.

Kwa mtu anayeangalia masuala ya kisiasa kwa kutumia 3D thinking atatambua kuwa suala la Makonda linaenda kuimarisha zaidi CCM na serikali yake huku likiwaacha wapinzani hawana hoja mbadala katika siku zijazo.

Politics is a dirty game!
Wewe ni mvivu wa kufikiri, unashindwaje kuelewa kua ilikua ni mapema sana kwa wabunge wa CCM kumsoma Mh Rais?ilikua ni mapema sana kwa wabunge wa CCM kuelewa kua watendaji wa serikali wanaendesha mambo kwa mizuka!
Hivi sasa majibu wameyapata, wameshagundua kua wajiendekea kuchekelea na wingi wao bungeni wanaweza kukiua hata chama chao.

Itafika mahali hata Rais watamgomea kwa baadhi ya maamuzi yake, wameshajua anakowapeleka na ndio maana kuna mbunge amesema mawaziri wamepigwa ganzi, unafikiri wanepigwa ganzi na nani? Funua ubungo wako kama uwezo wake wa kufikiri ni Mdogo.

Hivi hata ninyi wanaCCM mnasema kua wabunge wenu wamegawanyika, amesema kua wabunge kama Msukuma na Change hawako upande wa Rais sasa unategemea hiyo michezo yako unayoiota itoke wapi?

Kupitia kujielewa kwa wabunge wa CCM na kukataa kuburuzwa kunaweza kuitesa sana serikali awamu hii kupitia kuunga mkono hoja zitakazoletwa bungeni zenye mashiko.
NB: Uelewe kua wapinzani sio wajinga, kila siku wanakutana kwenye vikao kupanga mikakati ya kujiimarisha hivyo siasa ndivyo ilivyo wala hakuna cha Meno ya bunge wala kibogoyo.
 
Kuna methali inayosema, Mwanga mpe mtoo alee. Methali nyingine inasema, Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.

Mpaka sasa inavyoonekana wapinzani hawajalielewa somo la siasa za CCM ndani ya bunge na nje ya bunge.

Kwa muda mrefu, wapinzani waliisumbua sana CCM kwa kutumia dhana ya ufisadi. Kila mara CCM walikuwa wakishambuliwa kuwa ni mafisadi.

Kwa kutumia dhana ya mwanga mpe mtoto alee, CCM walitengeneza mazingira yaliyowafanya wapinzani kumchukua na kumlea mtoto wa CCM ambaye alikuwa ni nembo ya dhana ya ufisadi nchini.

Siku ambayo Lowassa alihamia CHADEMA ilikuwa ni siku ambayo hoja ya ufisadi kutoka upinzani ilikufa kifo cha mende mpaka hata neno ufisadi likaondolewa kwenye makabrasha ya upinzani.

Baadaye iliibuka hoja ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ kutoka kwa wapinzani wakafikia mpaka hatua ya kuweka karatasi kuziba midomo yao.

CCM wamehangaika na hoja hii lakini kwa kutumia dhana ya ‘’ndege mjanja hunaswa na tundu bovu’’ wameanza kuiua kwa umakini mkubwa.

Tumeona na kusoma kwenye vyombo vya habari jinsi ambavyo baadhi ya wapinzani wakishangilia kuitwa kwa Makonda anayedaiwa ni ‘’kiongozi aliyekaribu’’ na Rais Magufuli kwenye kamati ya kudumu ya Bunge inayoshughulika na Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili ‘’akasulubiwe’’ baada ya wabunge kutoa azimio la pamoja.

Kwa maana nyingine kimantiki wanatuambia Bunge lina meno kwa sababu limeweza kumuita kiongozi ambaye wapinzani wanadai ni ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ili wamsulubu. Kwa maana nyingine, kuisulubu ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ni kumsulubu Rais Magufuli.

Wapinzani bila kujua wanachofanya ni kuua dhana ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ pale ambapo masuala ya msingi kwa taifa yatakapojiri bungeni siku sijazo.

CCM wanafahamu vizuri kuwa mashitaka ya Makonda hayana athari zozote kwake na kwa CCM badala yake yanaifanya CCM na serikali yake kuimarika zaidi katika macho ya Watanzania.

Kuna ‘’wajinga’’ wasiojua taratibu na kanuni za bunge wanashangilia wakidhani Makonda atasimama ndani ya ukumbi wa bunge na kuanza kuhojiwa na wabunge. Hawafahamu kuwa mahojiano yatafanyika ndani ya ofisi za kamati yenye wajumbe 15 ambao kati yao kuna wabunge wa CCM 9.

Kikubwa zaidi, mashitaka ya Makonda hayawezi hata kutengeneza hoja ya kikanuni kumshauri Rais Magufuli amfute kazi badala yake, Kamati ya kudumu itatoa onyo/ushauri na biashara itaishia hapo.

Kwa mtu anayeangalia masuala ya kisiasa kwa kutumia 3D thinking atatambua kuwa suala la Makonda linaenda kuimarisha zaidi CCM na serikali yake huku likiwaacha wapinzani hawana hoja mbadala katika siku zijazo.

Politics is a dirty game!
Tusimame kwenye kweli.
Ni LAZIMA kuwe na separation/mgawanyo wa MAMLAKA/POWERS:
-SERIKALI
-BUNGE na
-MAHAKAMA.

Na KISHERIA kila moja ya hizi INAJITEGEMEA na KUHITAJIANA/Interdependent
BUNGE- LINATUNGA sheria.
MAHAKAMA-INATAFSIRI sheria zilizotungwa na WABUNGE.
SERIKALI- INATEKELEZA kile KILICHOTAFSIRIWA na MAHAKAMA.Yaani ina enforce the Law.
Bunge si serikali na wala Serikali si Bunge nk.

Hii mikono mitatu HUJITEGEMEA na HAKUNA iliyo bora kuliko nyingine.
Kwa ajili ya amani na smooth running of government affairs nchini.
Hizi zote zinahitaji KUHESHIMIANA!
 
Tunaongelea "Lafudhi" na Lafdhi, wewe umeleta porojo zingine.

Upo darasa la ngapi?
Duh! Kweli nilidhani watu wanakusingizia kumbe kweli........
Iwe lafudhi ama sentensi. nk zipo katika somo la kiswahili fasaha ama sanifu, iweje leo wewe uitoe lafudhi kama kitu kipya katika hayo. Kwaheri siwezi ubishani mimi.
 
Duh! Kweli nilidhani watu wanakusingizia kumbe kweli........
Iwe lafudhi ama sentensi. nk zipo katika somo la kiswahili fasaha ama sanifu, iweje leo wewe uitoe lafudhi kama kitu kipya katika hayo. Kwaheri siwezi ubishani mimi.

Hujajibu swali langu, upo darasa la ngapi?
 
Kuna methali inayosema, Mwanga mpe mtoo alee. Methali nyingine inasema, Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.

Mpaka sasa inavyoonekana wapinzani hawajalielewa somo la siasa za CCM ndani ya bunge na nje ya bunge.

Kwa muda mrefu, wapinzani waliisumbua sana CCM kwa kutumia dhana ya ufisadi. Kila mara CCM walikuwa wakishambuliwa kuwa ni mafisadi.

Kwa kutumia dhana ya mwanga mpe mtoto alee, CCM walitengeneza mazingira yaliyowafanya wapinzani kumchukua na kumlea mtoto wa CCM ambaye alikuwa ni nembo ya dhana ya ufisadi nchini.

Siku ambayo Lowassa alihamia CHADEMA ilikuwa ni siku ambayo hoja ya ufisadi kutoka upinzani ilikufa kifo cha mende mpaka hata neno ufisadi likaondolewa kwenye makabrasha ya upinzani.

Baadaye iliibuka hoja ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ kutoka kwa wapinzani wakafikia mpaka hatua ya kuweka karatasi kuziba midomo yao.

CCM wamehangaika na hoja hii lakini kwa kutumia dhana ya ‘’ndege mjanja hunaswa na tundu bovu’’ wameanza kuiua kwa umakini mkubwa.

Tumeona na kusoma kwenye vyombo vya habari jinsi ambavyo baadhi ya wapinzani wakishangilia kuitwa kwa Makonda anayedaiwa ni ‘’kiongozi aliyekaribu’’ na Rais Magufuli kwenye kamati ya kudumu ya Bunge inayoshughulika na Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili ‘’akasulubiwe’’ baada ya wabunge kutoa azimio la pamoja.

Kwa maana nyingine kimantiki wanatuambia Bunge lina meno kwa sababu limeweza kumuita kiongozi ambaye wapinzani wanadai ni ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ili wamsulubu. Kwa maana nyingine, kuisulubu ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ni kumsulubu Rais Magufuli.

Wapinzani bila kujua wanachofanya ni kuua dhana ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ pale ambapo masuala ya msingi kwa taifa yatakapojiri bungeni siku sijazo.

CCM wanafahamu vizuri kuwa mashitaka ya Makonda hayana athari zozote kwake na kwa CCM badala yake yanaifanya CCM na serikali yake kuimarika zaidi katika macho ya Watanzania.

Kuna ‘’wajinga’’ wasiojua taratibu na kanuni za bunge wanashangilia wakidhani Makonda atasimama ndani ya ukumbi wa bunge na kuanza kuhojiwa na wabunge. Hawafahamu kuwa mahojiano yatafanyika ndani ya ofisi za kamati yenye wajumbe 15 ambao kati yao kuna wabunge wa CCM 9.

Kikubwa zaidi, mashitaka ya Makonda hayawezi hata kutengeneza hoja ya kikanuni kumshauri Rais Magufuli amfute kazi badala yake, Kamati ya kudumu itatoa onyo/ushauri na biashara itaishia hapo.

Kwa mtu anayeangalia masuala ya kisiasa kwa kutumia 3D thinking atatambua kuwa suala la Makonda linaenda kuimarisha zaidi CCM na serikali yake huku likiwaacha wapinzani hawana hoja mbadala katika siku zijazo.

Politics is a dirty game!
Ukifanya tafakari pana. .."macho mbele, usawa wa kati"..huo ndio ukweli!
 
Kuna methali inayosema, Mwanga mpe mtoo alee. Methali nyingine inasema, Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.

Mpaka sasa inavyoonekana wapinzani hawajalielewa somo la siasa za CCM ndani ya bunge na nje ya bunge.

Kwa muda mrefu, wapinzani waliisumbua sana CCM kwa kutumia dhana ya ufisadi. Kila mara CCM walikuwa wakishambuliwa kuwa ni mafisadi.

Kwa kutumia dhana ya mwanga mpe mtoto alee, CCM walitengeneza mazingira yaliyowafanya wapinzani kumchukua na kumlea mtoto wa CCM ambaye alikuwa ni nembo ya dhana ya ufisadi nchini.

Siku ambayo Lowassa alihamia CHADEMA ilikuwa ni siku ambayo hoja ya ufisadi kutoka upinzani ilikufa kifo cha mende mpaka hata neno ufisadi likaondolewa kwenye makabrasha ya upinzani.

Baadaye iliibuka hoja ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ kutoka kwa wapinzani wakafikia mpaka hatua ya kuweka karatasi kuziba midomo yao.

CCM wamehangaika na hoja hii lakini kwa kutumia dhana ya ‘’ndege mjanja hunaswa na tundu bovu’’ wameanza kuiua kwa umakini mkubwa.

Tumeona na kusoma kwenye vyombo vya habari jinsi ambavyo baadhi ya wapinzani wakishangilia kuitwa kwa Makonda anayedaiwa ni ‘’kiongozi aliyekaribu’’ na Rais Magufuli kwenye kamati ya kudumu ya Bunge inayoshughulika na Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili ‘’akasulubiwe’’ baada ya wabunge kutoa azimio la pamoja.

Kwa maana nyingine kimantiki wanatuambia Bunge lina meno kwa sababu limeweza kumuita kiongozi ambaye wapinzani wanadai ni ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ili wamsulubu. Kwa maana nyingine, kuisulubu ‘’sauti ya Rais Magufuli’’ ni kumsulubu Rais Magufuli.

Wapinzani bila kujua wanachofanya ni kuua dhana ya ‘’bunge la sasa halina meno’’ pale ambapo masuala ya msingi kwa taifa yatakapojiri bungeni siku sijazo.

CCM wanafahamu vizuri kuwa mashitaka ya Makonda hayana athari zozote kwake na kwa CCM badala yake yanaifanya CCM na serikali yake kuimarika zaidi katika macho ya Watanzania.

Kuna ‘’wajinga’’ wasiojua taratibu na kanuni za bunge wanashangilia wakidhani Makonda atasimama ndani ya ukumbi wa bunge na kuanza kuhojiwa na wabunge. Hawafahamu kuwa mahojiano yatafanyika ndani ya ofisi za kamati yenye wajumbe 15 ambao kati yao kuna wabunge wa CCM 9.

Kikubwa zaidi, mashitaka ya Makonda hayawezi hata kutengeneza hoja ya kikanuni kumshauri Rais Magufuli amfute kazi badala yake, Kamati ya kudumu itatoa onyo/ushauri na biashara itaishia hapo.

Kwa mtu anayeangalia masuala ya kisiasa kwa kutumia 3D thinking atatambua kuwa suala la Makonda linaenda kuimarisha zaidi CCM na serikali yake huku likiwaacha wapinzani hawana hoja mbadala katika siku zijazo.

Politics is a dirty game!
HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA SUBIRI HAUTAAMINI KITACHOMPATA BWANA MDOGO MAKONDEKO,SHERIA NI MSUMEMO.
 
Wameshindwa kutatua matatizo yanayowakabili waTanzania wanatuletea operation za kijinga apo, Tunataka Operation Ondoa Njaa, Ondoa Zero, Ondoa Umaskini na Ajiri Malaki ya Vijana, Izo habari za madawa izo sio za kuwekea focus kiasi icho
 
Back
Top Bottom