FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,227
lafdhi= lafudhi
*Kasome irabu na silabi
Lafudhi ni Kiswahili kilichosanifiwa, lafdhi ndiyo Kiswahili asli (asili).
"Kaake waona lile piji? Kaake lile si piji ule ni mforojo lawa maji".
Tafuta Mpemba akutafsirie, hicho ni Kiswahili kwa lafdhi na madaha ya Kipemba.