Huku kwetu wanachukua hela wanaondoka taka hawajawahi kutoa ukiwauliza au kuiwakatalia wanakwambia kuchukua hela ipo kisheria ukimuliza kuja kuchukua taka hawanaga jibu basi ukiwauliza sheria gani inakukinga wew mvhukua hela bila kutoa taka haijui halmashauri za miji kuweni wastaarabu basi...
Da kuna mzee hapa kama namfananisha naye anasema familia yake iko Uganda toka ametua hapa Tz ni miaka mingi sana toka 1954 hivi hakumbuki hata alipokuwa anaishi na anamtaja mtoto wake mmoja tu na mke ila anasema aliacha watoto 4. Na huku amenogewa analima na ana umri mkubwa ila usimwambie...
Afrika tungemwitwa kwnza mwenye mkoa wake aseme na amkaribishe mwakyembe aseme na wengine na wote hao watakasema ni lazima waipongeze na serikari ya...na kuponda wapinzani kisha wanawachia wengine ikiwa kesho ndio mwili unazikwa au unasafirishwa basi na gari la mtu fulani linatangulia mbele ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.