Recent content by Hashim bin Faustin

  1. Hashim bin Faustin

    KAMA ACACIA NI KAMPUNI HEWA , JE MAJADILIANO NI YA NINI ??

    Kwanza napenda kumpongeza Mh. Rais wetu kwa kuthubutu kulianzisha Dude hili la madini kwani tumeibiwa sana tena sana. Lakini naomba kujibiwa maswali haya ili niweze kuamini na kumuamini Rais katika hili sakata kwa ujumla wake. (1) kwa mujibu ya ripoti iliyo wasilishwa kampuni ya Acacia...
  2. Hashim bin Faustin

    Mikataba inasainiwa "gizani", Ripoti inakabidhiwa hadharani! Tuendelee kushangilia?

    Mikataba inaposainia siyo jambo la kitaifa ??? Mbona inasaniwa kidhani !!
  3. Hashim bin Faustin

    Leo saa 09:43 mchana wa tarehe 8/6/17 bandarini Dar es salaam kuna meli 13

    Ukitoa za Bakharesa na za mizigo ya znz , international vessel utapata ngapi ???
  4. Hashim bin Faustin

    EWURA yatangaza ongezeko la bei za Mafuta ya Diesel na Petroli kuanzia 7 Juni 2017

    Niwakati wa Watanzania kuhoji mambo , tumezidi kuwa makondooo na waoga sana vitu vinapanda bei sisi tunaridhika tu....!!
  5. Hashim bin Faustin

    TANZIA: Mzee Kitwana Kondo afariki dunia

    USIA WA MAREHEMU KITWANA SELEMANI KONDO KWA WATANZANIA Mohamed Said May 24, 2017 0 Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999 Mohamed Said February 17, 2015 0 Annur Na.187- Feb.5-11, 1999 Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma Kitwana Selemani...
  6. Hashim bin Faustin

    Huu ndio ujio wa Benpol baada ya picha za utupu. Amefaulu au amefeli?

    Jamani mbona povu linawatoka !! Kwani uchi wa mwanamme unaanzia wapi na kuishia wapi ?? Mbona mimi sijaona hayo matako mnayo yajadili ?? Wimbo mzuri tu , labda music system zenu ni zambao na spika mbovu zinakoroma tu. Achene roho mbaya , wabongo banaa !!
  7. Hashim bin Faustin

    Ramadhan Special Thread

    In ShaaAllah , Ameen. , na tusiwasahau masheikh wetu waliopo Segerea.
  8. Hashim bin Faustin

    Hii ndio sheria itakayo waumbua Simba sc Fifa

    Kumbe na wewe ni Simba !!
  9. Hashim bin Faustin

    DAR: Kamanda Sirro awataka Clouds kutoa ushirikiano

    Sirro: "Clouds wanatakiwa kutoa ushirikiano" Dar Es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Simon Sirro amewataka uongozi wa Clouds Media Group kushirikiana na jeshi la polisi katika upelelezi wa tukio la uvamizi wa kituo chao cha matangazo. Akiongea na waandishi wa habari...
  10. Hashim bin Faustin

    Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

    Nafikiri wewe na Bashite ndiyo Nyumbu ...!!
  11. Hashim bin Faustin

    Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

    Kaa kimya Brother Ruge. Huyu ni wakupuuza tu , mtu hata kutoa history ya elimu yake anashishwa...ni wakudharau..!!
  12. Hashim bin Faustin

    Polisi yazuia kongamano la chama cha kisiasa chenye asili kutoka bara arab..

    Je Vatican mbona wanapeta tu na taasisi zao, au TZ ni ya wakatoliki ?? Je intelejensia ya TZ ni imara zaidi ya Europe ambapo hawa Hizb wanafanya shughuli zao bila kizuizi chohote. ??!! Mimi Ninachoona hapa hii Nchi inaongozwa na woga na woga unatokana na viongozi wetu kutokuwa waadilifu pia...
  13. Hashim bin Faustin

    Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

    Mh.Malima akibishana na Polisi kisa inadaiwa eti "Wrong Parking" kama kweli wrong parking na silaha juu ???
Back
Top Bottom