Recent content by Hasheem Kaz

  1. Hasheem Kaz

    Kenya produces More Maize than Tanzania (3 times)

    Write your reply...Kenya aliyewaroga amekimbia. Hebu mtafuteni awape dawa mpone. Populations ya Tz ni kubwa kuliko nchi zote East Afrika, how come tudemand low quantity of maize than minority kenyans. Tanzania almost the whole country ni fertile soil and all areas cultivate maize for both...
  2. Hasheem Kaz

    Serikali ya Kenya yatoa tamko kuhusu tishio dhidi ya wageni - hivyo punguzeni wasiwasi

    Write your reply... Wakenya mtakuwa mmechokoza vita ya Saba ya Dunia.
  3. Hasheem Kaz

    Prof. Palamagamba Kabudi Aleta wawekezaji nchini

    Write your reply...Kaleta wawekezaji au Kaleta Wachina?
  4. Hasheem Kaz

    Hii ni moja ya picha ambazo Waingereza hawapendi kuziona

    Write your reply...Huyo ndio mtu mweusi pekee aliyewatawala wazungu. Yaani yeye Mkoloni, alafu wazungu ni watawaliwa viceversa is true. Kidume hicho
  5. Hasheem Kaz

    Mapishi ya makange ya kuku

    Write your reply...Tatizo nyanya za pakti tu hapo. Sipendi kuintertain vitu vya viwandani wakati vya kutoka shambani direct navikuta sokoni.
  6. Hasheem Kaz

    wakali wa freestyle bongo

    Write your reply...Jamaa yule anajiita Maharifa nae he is good. Ila ukikutana na Nikki mbishi kalewa pombe mzee unaweza ukamsahau Ngweir
  7. Hasheem Kaz

    Kenya yamtimua balozi wa Rwanda

    Write your reply...This is why Africa is dark continent.
  8. Hasheem Kaz

    Simiyu: Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la kubaka na kutia mimba

    Write your reply...Kuna wengine wanabaka sheria za uhuru wa habari hukuuuu!
  9. Hasheem Kaz

    Pierre Liquid ndio mtanzania anae ishi maisha ya furaha kuliko mtanzania mwingine yoyote yule..

    Write your reply...Kama hauna mke wala mtoto wala hauna mpango wa kupata hvyo vitu, hautakiwi kuwaza future because you live for the sake of your own lives. At the same time kama hauna hvyo vitu u'll be fucked by stress. Mwisho utataka kuaminisha watu unafuraha kumbe your heart is torned...
  10. Hasheem Kaz

    Manispaa Ilala yanyang’anywa TSh 3 bilioni ya Uboreshaji wa Machinjio ya Vingunguti

    Write your reply...Labda walikosea bajeti, waliandaa bajeti isiyotosha. Hivyo wanaogopa kugusa hela na mradi usihishe. Au wanajisahaulisha zikae muda mrefu watu wasahau, mwisho waanze kuzinyogoa mdogo mdogo.
  11. Hasheem Kaz

    Manispaa Ilala yanyang’anywa TSh 3 bilioni ya Uboreshaji wa Machinjio ya Vingunguti

    Write your reply...Tatizo hela za moto. Kila mtu anaziogopa
  12. Hasheem Kaz

    Dkt. Mwigulu Nchemba apata ajali ya gari akielekea Dodoma

    Write your reply...Chanzo cha ajali ni:- 1- Reckless driving (Kuendesha gari kizembe) (i) mwendokasi, wanasema speed ndio usalama wa kiongozi lakini kwakusema ukweli hakuna mwenye shida na Mwigulu, ata akitembea kwa miguu usalama wake ni 100% labda Mungu, mana Mwenyezi Mungu hadhihakiwi...
  13. Hasheem Kaz

    Ni kwanini vijana wengi siku hizi wanaishi maisha ya maigizo?

    Write your reply...Faida yake hautumii nguvu nyingi wala formula za kuumiza kichwe kupata demu wa mtandaoni.
Back
Top Bottom