Recent content by harunams

  1. H

    Kwa nini Tanzania hatuna high crimes na Criminal Gangs

    Nahisi kama nimekuelewa zaidi ya nilivyoelewa.
  2. H

    Tangazo kutoka kambi ya Jeshi Lugalo, Mbuzi ameokotwa akila miti

    Mwenye mbuzi aende tu kumchukua, tatizo watu waoga, jeshi la siku hizi ni la kistaarabu si unaona hadi wanakuandikia barua, huo ni ustaarabu uliotukuka.
  3. H

    Mlango wa Bombardier Q400 wazua kizaazaa baada ya kuruka

    Ok hiyo hopeless, na hii je? Ipe jina.
  4. H

    Deutch Welle-Swahili: Njaa Sengerema yasababisha familia kuhamia kwa mwenyekiti wa kijiji

    Hiyo DW inajulikana ndiyo "sauti" ya watu wenye misimamo inayokinzana na serikali ya Tanzania, sijui wana maslahi gani na nchi hii? Anaejua anijuze
  5. H

    Q & A ya Mhe. Rais & Mhe. Abdallah Possi

    Kwani kuwa Mbunge inalazimu kuwa Daktari wa Sheria? Then, Bulembo siyo mtu wa kumdharau, ana mafanikio katika maisha yake inawezekana kuliko baba yako. Wewe mpaka umemjua hapo alipo hakufika hivihivi, kuna watu wazito ndani ya chama chake wanamjua uwezo wake na kumwamini. Acha ku underestimate...
  6. H

    Ifunguliwe kesi ya kikatiba kuzuia Kabudi na Bulembo wasiapishwe mpaka mahakama itoe tafsiri?

    Acheni povu, hii issue inahusiana na masuala ya fasiri ya sheria (interpretation). Kwa uchangiaji huu wengi wataonekana hawana capacity ya kujadili hili. Wengine tusio na ufahamu mpana wa masuala haya tusidandie treni kwa mbele. Tuiachie Mahakama ndio inaweza kutupa usahihi.
  7. H

    It is only 1200kms from Tanga to Kampala, compared to 1500km from Mombasa to Kampala!

    in fact ni Inland port (Bandari kavu), sio zile za kufunga meli.
  8. H

    It is only 1200kms from Tanga to Kampala, compared to 1500km from Mombasa to Kampala!

    Hapana, Mwambani port sio ile ya Tanga mjini, iko planned kujengwa somewhere else nje kidogo ya Tanga mjini eneo linaloitwa Mwambani kushoto mwa barabara inayoenda Pangani toka Tanga mjini.
  9. H

    Mbunge wa Kilombero(CHADEMA) Mh. Lijualikali, afungwa jela miezi sita

    "eti kosa ni kufanya fujo kwenye uchaguzi" KWANI UKIFANYA FUJO WAKATI WA UCHAGUZI NDIO INAFANYA KUWA SIO KOSA. ACHA USHABIKI, NCHI INAENDESHWA KWA MUJIBU WA SHERIA SIO HISIA ZAKO.
  10. H

    Kesi ya Lema sio ya Kisiasa.

    Ni kweli unayosema lakini signature yako inapingana na mawazo yako. (Mkubwa hakosei)
  11. H

    Hatimaye Watanzania wajutia uwepo wa CCM madarakani

    issue sio kuichagua CCM au kutoichagua, tuchague nani mbadala? Hawa ni Vigeugeu, hawana wanachosimamia hawafai hata kuongoza familia. Ili kupata mageuzi ya kweli inahitajika damu mpya. Kama lengo ni 2020, nguvu nyingi ielekezwe kuleta mabadiliko ya ndani ya chama badala ya kupambana walioshika...
  12. H

    Rubani Mtanzania aliyekuwa ametekwa huko Sudani Kusini aachiwa huru bila masharti

    so interesting, Tanga alisoma shule gani?
  13. H

    Rubani Mtanzania aliyekuwa ametekwa huko Sudani Kusini aachiwa huru bila masharti

    "Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa nchi hiyo Ndugu Garang Mabior de Garang" Huyu si ndio yuleee Bob Marley, kumbe alikuja bongo kuonana na Mheshimiwa.
  14. H

    Toka fesibuku

    Duuu, noma!!!
Back
Top Bottom