Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Ai wantedi tu sei dhi seimMiafrika aliyeturoga alifia baharini
Watanzania walivyo waajabu 2020 wakipewa pombe na sukari sishangai wataichagua ccm watasahau yote.
Ai wantedi tu sei dhi seimMiafrika aliyeturoga alifia baharini
Watanzania walivyo waajabu 2020 wakipewa pombe na sukari sishangai wataichagua ccm watasahau yote.
Vijana kama nyinyi mnaofuata kila kitu kuna siku mtaambiwa mule mavi ya kenge na mtakula kweli kisa mwenyekiti wa chama kasema(Mbowe).Kachome leo, who and what are you bw???!
Kweli.Sasa EDO angebadilisha nini na hali kalelewa humo humo CCM? Kwani CHADEMA au niseme UKAWA kwa ujumla haina watu wenye sifa za kugombea nafasi hiyo mfano akina Safari, Baregu na wengineo ambao nina hakika wapo japo hawana majina makubwa!
Unaona!!! Nyinyi ndio zile akili za kushikiwa. Akili za fuata upepo. Akili mnyauko. Watanzania tutaongozwa na fisiemu mpaka milele kwa akili za dizaini hii. Nyinyi ndo Moja ya watu wenye PhD za unafiki na uzandiki. Iache halimashaur ya kichwa chako ijiendeshe na siyo kuendeshwa. Come on.Angetumiwa babako labda
Sure. Its time to read numbers. Mambo yakuleta mahaba ya Lowasa yalishatuchosha. JPM asuburi kujionea akili ndogo za watanzania zilivyoLawama za za nini? Piga kimya fanya kazi ili maisha yako yaende huu si muda mwafaka wa kujadili nini kipi wala nani alimchagua rais tuliomchagua ni uncle JPM basi acha atupe kilicho sitahiki yetu tatizo sisi watanzania ni wanafiki sana
Chadema ni 0 tu, Ccm hoyeeeee..mi najuta kura Yangu kumpa Mwenyekiti wangu maana kapata sifuri kwenye uchumi Wa nchi hadi sasa kiukweli.Kwa wapinzani dizaini ya mbowe,lema, ,lissu,mnyika,mdee,msigwa,lowassa etc bora muongozwe na ngedere tu.Sijaona nchi yenye wapinzani wajinga wasioeleweka kama hii,hawajui nini wanasimamia,bora liende tu.Acha JPM afanye kazi
Akili ya pombe si nzuri kabisaa. Ndio maana hata mahakamani ukisema nilimtukana nikiwa nimekunywa pombe mh hakimu anujua haukua peke yako mlikua wawili wewe na mtakatifu Pombe.Miafrika aliyeturoga alifia baharini
Watanzania walivyo waajabu 2020 wakipewa pombe na sukari sishangai wataichagua ccm watasahau yote.
issue sio kuichagua CCM au kutoichagua, tuchague nani mbadala? Hawa ni Vigeugeu, hawana wanachosimamia hawafai hata kuongoza familia. Ili kupata mageuzi ya kweli inahitajika damu mpya. Kama lengo ni 2020, nguvu nyingi ielekezwe kuleta mabadiliko ya ndani ya chama badala ya kupambana walioshika hatamu. Mabadiliko ya ndani ya chama yanawezekana, chama ni cha wanachamaMiafrika aliyeturoga alifia baharini
Watanzania walivyo waajabu 2020 wakipewa pombe na sukari sishangai wataichagua ccm watasahau yote.
Naweza kukufananisha na mnyama asiye na akili kabisa, loh naona wote uelewa walionao wanakuzidi, haha pengine nifananishe brain yako na brain ya panzi hahah, unaakili ndogo sana,Mulikuwa sahihi ila sio kwa kumtumia Lowasa.