Polisi kazi imewashinda. Inakuaje wanashindwa kufuatilia mawasiliano ya hao wafanyakazi wa mabenki tuhumiwa ili kupata ukweli? Wasijitoe kwenye hii dhamana ya kulinda usalama wa raia na mali zao. Excuse is a lie. Polisi wakitimiza wajibu wao hao wafanyakazi wa benki wanaotuhumiwa ni rahisi...
Hofu kubwa hapa ni juu ya uchaguzi ujao iwapo Rais na serikali yake wakiendelea na kasi hii waliyoanza nayo. Je, upinzani utapata support ya wananchi wanaorudisha imani waliyoipoteza hapo awali (bila ya kujali chama)kwa serikali? Mleta maada umeona mbali sana.
10. Urefu kutoka ardhini kwa milango ya kushoto ya Basi ni Sentimita thelathini (30) ambayo hata mtoto anaweza kushuka bila msaada wa mtu mzima.
11. Urefu wa Milango ya kulia ni Sentimita tisini (90) sawa na urefu wa Platform za kila kituo cha DART unaomuwezesha hata mtu mwenye mahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.