harufumbaya
Member
- Feb 9, 2015
- 34
- 3
Ccm ni shida sawa lakini kwa lowasa ni sawa na mtu aliechafuka na kwenda kuoga mkojo ili awe msafi
Kama hawajajieleza(Hearing) basi wawapeleke mahakamni na tundu lissue asimamie kesi na imani watashinda na watalipwa mamilioni ya shilolingi na pili waliofukuzwa waweke namba zao za X-Pesa tuwachangie,UKAWA watoe pesa kwa ajili ya kujikimu kila mwezi mpaka watakapopata kazi nyingine au kesi kuisha.
I knew this was coming, but ethically speaking they deserve a sack because their actions towards customers might scare them away hence destroying the business.
Ni kweli kabisa, hawana haki ya kutoa siri za mteja hata na iwe vipi. Ile ni hoteli kubwa siri za wateja hazitakiwi kuvuja kiovyo ovyo huo ni ukosefu wa nidhamu kazini.
Unasema hao wafanyakazi wametoa siri za wateja wao?Ni kweli kabisa, hawana haki ya kutoa siri za mteja hata na iwe vipi. Ile ni hoteli kubwa siri za wateja hazitakiwi kuvuja kiovyo ovyo huo ni ukosefu wa nidhamu kazini.
Kwa taarifa yako hao ambao Mkapa aliwaita wapumbavu na malofa, almost wote wanavyo 'vichinjio' vyao mifukoni na wote watavibeba siku ya uchaguzi tarehe 25 Oktoba mwaka huu ili 'wawachinje' Sisiem kwenye sanduku la kura na kuwapa ridhaa Ukawa kuongoza kwa kipindi cha miaka 5 ijayo.Inashangaza sana mtu kutetea hao kina neema na wenzake. Ninaikubali sana kauli ya Mkapa pale jangwani kuhusu wafuasi wa UKAWA.
Sasa kama hizo habari zingekuwa siyo reliable source si tayari ungeshasikia Manejimenti ya Serena Hotel ikizikinusha?
Hivi unataka kusema Manejimenti nzima ya Serena Hotel, hakuna yeyote ambaye ni JF member?
Hivi kama kweli hizi habari zingekuwa za uwongo, wangeendelea tu kukaa kimya huku wakijua fika kuwa 'uwongo' huo unaendelea kupunguza confidence ya wateja wao kwa hiyo Hoteli na hivyo kuharibu business yao?
Waende CMA watapata haki yao faster
Ingawa mikataba ya Hoteli hiyo ina kipengele kinachosema kuwa Mfanyakazi anapaswa kutunza siri za wateja wake.Kiongozi waangalie kwanza mkataba wao unasomekaje, moja ya kipengele ni kutunza siri za wateja. Hivyo hapo wao wamekiuka masharti ya mikataba hawatashinda. Ni kuwasidia kupata kazi sehemu nyingine. Na pia waajiri wengine wanaweza kuwaogopa kuwa hawana maadili kwani wanatoa siri
Lakini ni vyema tunapolijadili sakata hilo la hao wafanyakazi waliofukuzwa hapo Serena Hotel tusiangalie tu masharti waliyowekewa kwenye mikataba yao kuhusu utunzaji wa siri za wateja, bali pia tuangalie masharti wanayowekewa wawekezaji hao wanapoendesha shughuli zao za kibiashara wawapo nchini.Kiongozi waangalie kwanza mkataba wao unasomekaje, moja ya kipengele ni kutunza siri za wateja. Hivyo hapo wao wamekiuka masharti ya mikataba hawatashinda. Ni kuwasidia kupata kazi sehemu nyingine. Na pia waajiri wengine wanaweza kuwaogopa kuwa hawana maadili kwani wanatoa siri