Magazeti ya udaku,vijiweni,shuleni, kwenye matamasha nk. humo kote stori za watu maarufu zinapigwa na zinasambaa kwa kasi.
Unaweza kukuta mtu 1 kaenda kwenye tamasha mf.Diamond jubilee akikuta stori ya umbea au akimuona star na demu wake akirudi mtaani anawakusanya watu anawapigisha stori ,huyo...
Kati ya mambo ya hovyo yaliyowahi Kufanywa na Nyerere ni hili la muungano,hauna faida yoyote.
Fedha za walipa kodi wa bara zinaendaje Zanzibar.bara ina watu zaidi ya milioni 50 inawezaje kugawana sawa fedha zake na nchi yenye watu wasiozidi milioni 2.
Tuliyakataa ya Chato tutayakataa ya Zanzibar.
Mbowe alisema akaunti zimefungiwa siyo biashara.
Huyo mbunge hata akiulizwa Bills ilikuwa mtaa gani hajui.
Yeye angepambana kuwatetea wakulima wa mahindi wa Songea na barabara na madaraja ya Lizaboni,Mfaranyaki,Mpitimbi na Ndelenyuma.
Mimi nilikuwa namsapot mwanzo wa utawala wake lakini alivyopotea Ben Saanane na Azory Gwanda na kumpiga risasi Tundu Lissu nikakataa kuwa sehemu ya uovu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.