Recent content by Harry Mapande

  1. H

    Nashukuru nimemwona Abdul Sykes vizuri katika picha hizi

    Sijaelewa au? Abdulwahid Sykes kafa 1968,wewe mzee Mohammed hujawahi kumuona?
  2. H

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Hana,ila hata JPM hakuwa nao,ni kawaida tu hata Trump hakuwa na uwezo.
  3. H

    Fred Vunja bei: Maduka yetu pekee ndio yanauza nguo original hapa Bongo

    Mnataka OG kwa gharama ndogo? Yeye ana watu wake anaowauzia,mkitaka nguo OG nendeni kwenye maduka makubwa yenye gharama.
  4. H

    Huyu amani kwa Kaka Voda milionea ndo nani? Huko Dar es Salaam

    Alikuwa diwani wa Chadema siyo Mbunge.
  5. H

    Umegundua nini kuhusu taarifa za habari na vipindi vya TBC?

    Inaonekana huwa uangalii TBC1 Tangu mwaka jana walipoanzisha kipindi Cha Aridhio wana sehemu ya Zanzibar. Usiwaonee.
  6. H

    Wako wapi mabinti waliotajwa na FA kwenye wimbo wa “Mabinti”?

    Magazeti ya udaku,vijiweni,shuleni, kwenye matamasha nk. humo kote stori za watu maarufu zinapigwa na zinasambaa kwa kasi. Unaweza kukuta mtu 1 kaenda kwenye tamasha mf.Diamond jubilee akikuta stori ya umbea au akimuona star na demu wake akirudi mtaani anawakusanya watu anawapigisha stori ,huyo...
  7. H

    Dkt. Mpango: Sitakuwa mpole kwa wanaochezea Muungano

    Awamu hii kazi tunayo. Rais akihutubia anatukumbusha uanamke wake makamu yeye anatukumbusha upole wake.
  8. H

    Baada ya Chato sasa ni zamu ya Zenji Kula

    Kati ya mambo ya hovyo yaliyowahi Kufanywa na Nyerere ni hili la muungano,hauna faida yoyote. Fedha za walipa kodi wa bara zinaendaje Zanzibar.bara ina watu zaidi ya milioni 50 inawezaje kugawana sawa fedha zake na nchi yenye watu wasiozidi milioni 2. Tuliyakataa ya Chato tutayakataa ya Zanzibar.
  9. H

    Mbunge: Mbowe alidanganya Watanzania, Biashara zake hazikufungwa na Serikali bali Wanafamilia yake

    Mbaya zaidi hilo jengo lilijengwa na baba yake Mbowe, Nyerere alilitaifisha akawapa NHC.
  10. H

    Mbunge: Mbowe alidanganya Watanzania, Biashara zake hazikufungwa na Serikali bali Wanafamilia yake

    Mbowe alisema akaunti zimefungiwa siyo biashara. Huyo mbunge hata akiulizwa Bills ilikuwa mtaa gani hajui. Yeye angepambana kuwatetea wakulima wa mahindi wa Songea na barabara na madaraja ya Lizaboni,Mfaranyaki,Mpitimbi na Ndelenyuma.
  11. H

    Rais Samia Suluhu Hassan na Rais Hussein Mwinyi kuwa wageni Rasmi Kongamano la Viongozi wa Dini nchini

    Kwenye hilo kongamano wawaombee pia Ben Saanane na Azory Gwanda.
  12. H

    Kwanini niliacha kuwa "MATAGA" enzi za Dkt. Magufuli

    Mimi nilikuwa namsapot mwanzo wa utawala wake lakini alivyopotea Ben Saanane na Azory Gwanda na kumpiga risasi Tundu Lissu nikakataa kuwa sehemu ya uovu .
Back
Top Bottom