Baada ya Chato sasa ni zamu ya Zenji Kula

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,486
8,702
Kuna kila dalili kwamba sasa ni zamu ya Zenji kufaidi matunda ya Muungano,

Nimesikia kwamba pesa za Sherehe za Muungano zitagawanywa kwa Tanganyika na Zanzibar.Hii sio tatizo lakini tunataka kujua hizo pesa za shehehe huwa zinachangwa Bara na Visiwani?

Tujue kwanza pesa za sherehe huchukuliwa kutoka fungu lipi.

Kingine ni kwamba je tunagawana sawa?

Zenji nazani inazidiwa hata na Kinondoni kwa population sasa suala la kugawana sawa bin sawa sio sawa kabisa.
 
Kuna kila dalili kwamba sasa ni zamu ya Zenji kufaidi matunda ya Muungano,

Nimesikia kwamba pesa za Sherehe za Muungano zitagawanywa kwa Tanganyika na Zanzibar.Hii sio tatizo lakini tunataka kujua hizo pesa za shehehe huwa zinachangwa Bara na Visiwani?

Tujue kwanza pesa za sherehe huchukuliwa kutoka fungu lipi.

Kingine ni kwamba je tunagawana sawa?

Zenji nazani inazidiwa hata na Kinondoni kwa population sasa swala la kugawana sawa bin sawa sio sawa kabisa.
Bora chato ilikuwa bara.
 
Kati ya mambo ya hovyo yaliyowahi Kufanywa na Nyerere ni hili la muungano,hauna faida yoyote.

Fedha za walipa kodi wa bara zinaendaje Zanzibar.bara ina watu zaidi ya milioni 50 inawezaje kugawana sawa fedha zake na nchi yenye watu wasiozidi milioni 2.
Tuliyakataa ya Chato tutayakataa ya Zanzibar.
 
Kati ya mambo ya hovyo yaliyowahi Kufanywa na Nyerere ni hili la muungano,hauna faida yoyote.

Fedha za walipa kodi wa bara zinaendaje Zanzibar.bara ina watu zaidi ya milioni 50 inawezaje kugawana sawa fedha zake na nchi yenye watu wasiozidi milioni 2.
Tuliyakataa ya Chato tutayakataa ya Zanzibar.
Mliyakataa ya chato wewe na Nani?
Hiyo movement ya kukataaa uliifanya kimya kimya ama Wazi Wazi ..
Mbona hakuna impact yeyote iliyoonekana Kwenye kukataaa kwako/kwenu ...
Acha kujikosha ..
Sasa Ni zamu ya Zanzibar.
 
Hata mimi naona.

Nadhani na Mbeya tupambane tupate raisi.

Ili tuimarishe Mbeya yetu.
 
Nashangaa pesa zinazopatikana kwa kukatwa kodi wabara zinaenda kugawiwa sawa na wazanzibari, kwani wazanzibari huwa hawatengi pesa zao kwa ajili ya hiyo sherehe? kama wanatenga zinafanyiwa nini? maana naona sasa wanabembelezwa kama watoto.
 
Nashangaa pesa zinazopatikana kwa kukatwa kodi wabara zinaenda kugawiwa sawa na wazanzibari, kwani wazanzibari huwa hawatengi pesa zao kwa ajili ya hiyo sherehe? kama wanatenga zinafanyiwa nini? maana naona sasa wanabembelezwa kama watoto.
Tuvunje Muungano tuwaachie Wazenji nchi yao ili tusiendelee kunyonywa.

Wazenji wakianza kudai Mamlaka yao kamili tunawaita magaidi tunawakamata na kuwasweka lupango.

Sasa tuelewekeje? Hatutaki Muungano uvunjwe pia hatutaki tuwagawie. Kama tunaona kuwagawia ni shida, tuwaachie kanchi chao
 
Kuna kila dalili kwamba sasa ni zamu ya Zenji kufaidi matunda ya Muungano,

Nimesikia kwamba pesa za Sherehe za Muungano zitagawanywa kwa Tanganyika na Zanzibar.Hii sio tatizo lakini tunataka kujua hizo pesa za shehehe huwa zinachangwa Bara na Visiwani?

Tujue kwanza pesa za sherehe huchukuliwa kutoka fungu lipi.

Kingine ni kwamba je tunagawana sawa?

Zenji nazani inazidiwa hata na Kinondoni kwa population sasa suala la kugawana sawa bin sawa sio sawa kabisa.
Waache wazanzibar wafaid mema ya nchi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kati ya mambo ya hovyo yaliyowahi Kufanywa na Nyerere ni hili la muungano,hauna faida yoyote.

Fedha za walipa kodi wa bara zinaendaje Zanzibar.bara ina watu zaidi ya milioni 50 inawezaje kugawana sawa fedha zake na nchi yenye watu wasiozidi milioni 2.
Tuliyakataa ya Chato tutayakataa ya Zanzibar.
Kwa misimamo ya Nyerere ju ya Africa wakati ule, muungano lilikua ni suala lisilokwepeka; kwasasa HAUNA maana yeyote though ile barua ya Kinana kwa jumuia za kimataifa na kukamatwa wale masheikh plus hotuba ya Lukuvu wakati wa bunge la katiba pale kanisani Dodoma linanifanya kuamini kwamba hu muungano huendauna siri yake tusioijua wananchi.
 
Kuna kila dalili kwamba sasa ni zamu ya Zenji kufaidi matunda ya Muungano,

Nimesikia kwamba pesa za Sherehe za Muungano zitagawanywa kwa Tanganyika na Zanzibar.Hii sio tatizo lakini tunataka kujua hizo pesa za shehehe huwa zinachangwa Bara na Visiwani?

Tujue kwanza pesa za sherehe huchukuliwa kutoka fungu lipi.

Kingine ni kwamba je tunagawana sawa?

Zenji nazani inazidiwa hata na Kinondoni kwa population sasa suala la kugawana sawa bin sawa sio sawa kabisa.
Tuwaache nao wafaudu kidogo
 
Huu ni Muungano wa nchi mbili ambazo ziko sawa kihadhi kama nchi....kwahiyo Watanganyika naomba tutulie dawa ituingie sawasawa.
 
Back
Top Bottom